Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

mkuu anayekwepa kodi ni adui wa tanzania, huyo chenge kama anakwepa kodi, tumuumbue hapa hapa jf, sio yeye tu, yeyote yule, kodi haina chama.

Mimi nimeanza na hili jipu la kumbi za starehe, zote, sio billcanas pekee lazima ziwe na efd mashine mlangoni.lazima zitoe risiti za uuzaji vinywaji.

Kumbi zote tu mzee, dar live, mafiesta ya clouds, huko escape 1, mwanza na popote tanzania kwenye kumbi za starehe lazima kuwe na efd mlangoni, tukilipa viingilio lazima tupewe risiti
Mkuu mkonozi umenena vyema watu kama wanahitaji mabadiliko wasiogope majipu kutumbuliwa japo yanauma wavumilie tuu!

Hili swala la Clubs lazima liangaliwe na nilitegemea kuwa kumbi zote zina EFD maana niliona Club maisha mtwara wanatumia EFD kwakweli walinifurahisha sana tena sana!

Pia lazima swala la matamasha liangaliwe zaidi maana sidhani kama watu wanalipa kodi inayo stahili!
 
Last edited by a moderator:
Siyo billicanas tu biashara zake nyingi halipi kodi huyu mchaga.afilisiwe
 
Wakati mwingine siasa ikizidi kichwani unaweza kuwa taahira..weka ushahidi hapa kuhusu ukwepaji kodi wa huo ukumbi!hizo sijui rafiki yako alikwambia sijui nini..hatupokei hearsay..
 
Ngonjera iko wapi? Nimekueleza kwamba hawatoi risiti. Na risiti ni haki yetu walipaji wa tozo yeyote ile.
Nimeomba pia kumbi zote zichunguzwe, sio Billcanas tu.

Sasa unataka niwaambie nini TRA

Tanzania KWANZA, vikojozi baadaye

Mbona unapoteza mda kubishana na vikojozi...umetoa mada imeeleweka kabisaa na ujumbe umewafikia tra
 
wakati mwingine siasa ikizidi kichwani unaweza kuwa taahira..weka ushahidi hapa kuhusu ukwepaji kodi wa huo ukumbi!hizo sijui rafiki yako alikwambia sijui nini..hatupokei hearsay..

ushahidi ni kutopewa risiti. Unataka ushahidi gani mwingine..
 
wakwepa kodi wakubwa na wanohujumu nchi hii huwaoni??? Afu unaushahidi? chini ya CCM hataisha haya labda yesu arudi
Yatakwisha tuu usiogope bali tuendelee kuwaumbua hivi hivi! Wakwepa kodi ni adui wa taifa.
 
Mnakurupuka sana watu Wa CCM. Sheria ya kumbi za Disco Ni tofauti na vitu vingine tafiti kwanza.
Weka hapa hiyo sheria! Ina maana Maisha club mtwara wanatumia sheria gani hadi wanakuwa na EFD mashine mlangoni na wanatoa risiti?
 
Wakati mwingine siasa ikizidi kichwani unaweza kuwa taahira..weka ushahidi hapa kuhusu ukwepaji kodi wa huo ukumbi!hizo sijui rafiki yako alikwambia sijui nini..hatupokei hearsay..
Mkuu unataka ushahidi gani tena wakati umeambiwa kiingilio kwenye hiyo club ni 10,000 ukilipa hawatoi lisiti ya TRA.
 
Mkuu, wewe ukienda kunywa bar au kula kwa mama lishe unadai risiti ya TRA?

Yuko kisiasa zaidi huyu mleta mada ingawa ana hoja nzuri.

Cha msingi serikali ionyeshe mfano kwanza ktk kuboresha matumizi ya hizo kodi kiasi kwamba mwananchi awe na moyo wa hiyari ktk kulipa kodi otherwise hata mimi kulipa kodi itakuwa ni ngumu ingawa kuna indirect tax ambazo tunalipa kila saa lkn bado hatujui zinaenda wapi
 
Mkuu huu ni uzi una ihusu Bills ya Mbowe na ukwepaji kodi kwa kuto toa risiti...

Mimi hawa jamaa nawashangaa kabisa nilitegemea walaani kitendo hiki cha Club bills kukwepa kodi kwa kuto toa risiti tena walitakiwa kuwa na EFD machine mlangoni kabisa!
Nilikwenda Club maisha Mtwara wao wanayo EFD machine mlangoni ukilipa kiingilio unapewa risiti!

Hii ni aibu watu kutaka mabadiliko alafu wanaanza kulialia kama watoto!

Wana sahau majipu yakikamuliwa yanauma hivyo wavumilie...

Mkuu sidhani kama kuna personal attack dhidi ya Mbowe watu wanacho hoji ni ukweli.

Unalipa kiingilio hamna risiti unayopewa inayoonyesha makato ya kodi.

Jirani na Billcanas kuna muhindi anauza chips na sekela anatoa risiti za TRA.

Hamna chuki mkuu ni utaratibu tu wa kulipa kodi ufuatwe.

Hapa swala lazima lieleweke wazi kama hatoi risiti ni kosa na ni mwanya wa ukwepaji kodi maana ni ngumu kujua mapato yake halisi kabisa!

Nilitegemea kuwepo na EFD machine pale mlangoni na si vinginevyo na nilitegemea Mbowe awe mfano wa kuigwa lakini nashangaa sana yeye kukwepa kodi namna hii!

mfano club moja tu, inakusanya milioni 20 mlangoni. Tufanye club 20 zenye ukubwa kama huo zinakwepa kodi weekend moja. Kwa mwezi weekend nne. Kwa mwaka.

Hapo bado upotevu wa kodi kubwa serikali inayokosa kutokana na vinywaji vinavyopandishwa bei mno. Mfano bia moja ni shs 4000. Wateja 2000 wanakunywa bia ngapi? Soda ngapi? Total lost revenue ni kubwa mno. Uko ulazima wa kuwa na efd mashine kwenye kumbi zote, kwenye mikusanyiko yote inayotoza viingilio na kadhalika. Hii inahusu pia fiesta za clouds, uko dar live na maeneo chungu mzima. Upumbavu wa tra, wanadhani weekend hamna mapato, wakati weekend ndo watanzania wanatumia mno pesa zao

Kama mna mishipa ya fahamu lazima imekufa ganzi au imekatika. Iweje muendelee na kujinafasi kwenye ukumbi usio lipa kodi? Nyinyi ni washiriki wa hujuma hiyo kama ni ya kweli. Kinyume chake nakubaliana na kauli SERIKALI DHAIFU HAIKUSANYI KODI. Na udhaifu wenyewe ni kuwekwa mfukoni na wakwepaji wa kulipa kodi.
 
Unavyoingia bills upigwa muhuli kumbuka stap ni sehemu ya kodi boya sana wewe.


swissme
Kama Bills hawatoi risiti ni kosa na ni ukwepaji kodi kosa la wengine hali halalishi makosa ya wengine.....
Klabu zote baa zote grocery zote nchini hawatoi risiti we umeiona bilikanywazz tuu binti ni nini unatafuta promo au mfafhili
 
Mkuu huu ni uzi una ihusu Bills ya Mbowe na ukwepaji kodi kwa kuto toa risiti...

Mimi hawa jamaa nawashangaa kabisa nilitegemea walaani kitendo hiki cha Club bills kukwepa kodi kwa kuto toa risiti tena walitakiwa kuwa na EFD machine mlangoni kabisa!
Nilikwenda Club maisha Mtwara wao wanayo EFD machine mlangoni ukilipa kiingilio unapewa risiti!

Hii ni aibu watu kutaka mabadiliko alafu wanaanza kulialia kama watoto!

Wana sahau majipu yakikamuliwa yanauma hivyo wavumilie...

Mkuu sidhani kama kuna personal attack dhidi ya Mbowe watu wanacho hoji ni ukweli.

Unalipa kiingilio hamna risiti unayopewa inayoonyesha makato ya kodi.

Jirani na Billcanas kuna muhindi anauza chips na sekela anatoa risiti za TRA.

Hamna chuki mkuu ni utaratibu tu wa kulipa kodi ufuatwe.

Hapa swala lazima lieleweke wazi kama hatoi risiti ni kosa na ni mwanya wa ukwepaji kodi maana ni ngumu kujua mapato yake halisi kabisa!

Nilitegemea kuwepo na EFD machine pale mlangoni na si vinginevyo na nilitegemea Mbowe awe mfano wa kuigwa lakini nashangaa sana yeye kukwepa kodi namna hii!

tutamshika awe ccm,awe act awe ukawa.

Ukwepaji kodi ni uvunjaji wa sheria. Sheria haina chama cha siasa

Utamshika baba yako nyeti? Utakuwa dume la mbegu
 
Kama mna mishipa ya fahamu lazima imekufa ganzi. Iweje muendelee na kujinafasi kwenye ukumbi usio lipa kodi? Nyinyi ni washiriki wa hujuma hiyo kama ni ya kweli. Kinyume chake nakubaliana na kauli SERIKALI DHAIFU HAIKUSANYI KODI. Na udhaifu wenyewe ni kuwekwa mfukoni na wakwepaji wa kulipa kodi.
Tunakubali lawama zote lakini lazima tuanzie tulipo kosea ukwepaji kodi haukubaliki kabisa...
 
Mkuu huu ni uzi una ihusu Bills ya Mbowe na ukwepaji kodi kwa kuto toa risiti...

Mimi hawa jamaa nawashangaa kabisa nilitegemea walaani kitendo hiki cha Club bills kukwepa kodi kwa kuto toa risiti tena walitakiwa kuwa na EFD machine mlangoni kabisa!
Nilikwenda Club maisha Mtwara wao wanayo EFD machine mlangoni ukilipa kiingilio unapewa risiti!

Hii ni aibu watu kutaka mabadiliko alafu wanaanza kulialia kama watoto!

Wana sahau majipu yakikamuliwa yanauma hivyo wavumilie...

Mkuu sidhani kama kuna personal attack dhidi ya Mbowe watu wanacho hoji ni ukweli.

Unalipa kiingilio hamna risiti unayopewa inayoonyesha makato ya kodi.

Jirani na Billcanas kuna muhindi anauza chips na sekela anatoa risiti za TRA.

Hamna chuki mkuu ni utaratibu tu wa kulipa kodi ufuatwe.

Hapa swala lazima lieleweke wazi kama hatoi risiti ni kosa na ni mwanya wa ukwepaji kodi maana ni ngumu kujua mapato yake halisi kabisa!

Nilitegemea kuwepo na EFD machine pale mlangoni na si vinginevyo na nilitegemea Mbowe awe mfano wa kuigwa lakini nashangaa sana yeye kukwepa kodi namna hii!

Tunakubali lawama zote lakini lazima tuanzie tulipo kosea ukwepaji kodi haukubaliki kabisa...

Good. Anza na elimu elimu elimu usisahau unapomyooshea mtu kidole kimoja vinne vinaelekea kwako.
 
Usilolijua ni usiku wa giza,fuatilia historia ya nchi hii kabla ya uhuru na baada ya uhuru,ukishaifahamu utagundua HAKUNA TAKATAKA YA KUMGUSA MBOWE NCHI HII, jamaa ni miongoni mwa wenye nguvu nchi hii kabla na baada ya uhuru JIULIZE KWA NINI then amka usingizini na uache kuota,jinga we
 
Yuko kisiasa zaidi huyu mleta mada ingawa ana hoja nzuri.

Cha msingi serikali ionyeshe mfano kwanza ktk kuboresha matumizi ya hizo kodi kiasi kwamba mwananchi awe na moyo wa hiyari ktk kulipa kodi otherwise hata mimi kulipa kodi itakuwa ni ngumu ingawa kuna indirect tax ambazo tunalipa kila saa lkn bado hatujui zinaenda wapi

tUMESHAANZA KUONA MATUMIZI MAZURI YA KODI ZETU

- TAYARI WANAVYUONI WAMEPEWA MIKOPO YAO
-UTARATIBU WA ELIMU BUREUKO TAYARI KABISA
-SEKTA YA AFYA INAANZA KUBORESHWA

NDUGU YANGO, NDIO KWANZA MWEZI TU. LAKINI TUNAONA KABISA KODI YETU INAENDA PANAPOSTAHILI

SELEMAA JPM. TUNAKUOMBEA KWA MUNGU UTUMBUE MAJIPU.TUKO NYUMA YAKO. SISI TUTAKAMUA USAA NA KUFUNGA BANDEJI. TUNAJUA MAJIPU YANAUMA. MTUVUMILIE HIVYO HIVYO WENYE MAJIPU
 
Back
Top Bottom