Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Billcanas wanakwepa kodi, TRA tafadhali chukua hatua

Hizi ID zinaficha mengi, mtu na akili zake anatukana mtu aliyeleta jambo zuri linalohitaji mjadala makini
Kama mada imekugusa ielezee mada sio kumuelezea mtu! Nakereka kweli na watumwa wa fikra
 
Siku Watz tukiacha hizi chuki za kijinga tutafika mbali sana. Kama mtu ana nia nzuri na hii nchi, swala kama hili alitakiwa aliripotishe TRA na sio kuliripotisha JF. Baadhi ya wachangiaji wa JF watachangia kwa kuonyesha personal attack kwa mmiliki wa Club hiyo ambaye ni Mbowe lakini haitasaidia kupata hiyo kodi inayosemwa inapotea. Tuache chuki, tujenge nchi, tuwe Wazalendo!
Hapa swala lazima lieleweke wazi kama hatoi risiti ni kosa na ni mwanya wa ukwepaji kodi maana ni ngumu kujua mapato yake halisi kabisa!

Nilitegemea kuwepo na EFD machine pale mlangoni na si vinginevyo na nilitegemea Mbowe awe mfano wa kuigwa lakini nashangaa sana yeye kukwepa kodi namna hii!
 
Huyo Makengeza afilisiwe mali zote za urithi...mshenzi mkubwa huyo...yani wananchi tunaangaika hatupati huduma kumbe halipi kodi ya biashara zake!?!😠
Usikosoe kazi ya Mungu aunt
 
Siku Watz tukiacha hizi chuki za kijinga tutafika mbali sana. Kama mtu ana nia nzuri na hii nchi, swala kama hili alitakiwa aliripotishe TRA na sio kuliripotisha JF. Baadhi ya wachangiaji wa JF watachangia kwa kuonyesha personal attack kwa mmiliki wa Club hiyo ambaye ni Mbowe lakini haitasaidia kupata hiyo kodi inayosemwa inapotea. Tuache chuki, tujenge nchi, tuwe Wazalendo!
Mkuu sidhani kama kuna personal attack dhidi ya Mbowe watu wanacho hoji ni ukweli.

Unalipa kiingilio hamna risiti unayopewa inayoonyesha makato ya kodi.

Jirani na Billcanas kuna muhindi anauza chips na sekela anatoa risiti za TRA.

Hamna chuki mkuu ni utaratibu tu wa kulipa kodi ufuatwe.
 
Makamanda kumekucha tena.

Si mlikuwa mnataka mabadiliko kulikoni tena.

Dr.Magufuli atanyoosha watu wengi sana.
Mimi hawa jamaa nawashangaa kabisa nilitegemea walaani kitendo hiki cha Club bills kukwepa kodi kwa kuto toa risiti tena walitakiwa kuwa na EFD machine mlangoni kabisa!
Nilikwenda Club maisha Mtwara wao wanayo EFD machine mlangoni ukilipa kiingilio unapewa risiti!

Hii ni aibu watu kutaka mabadiliko alafu wanaanza kulialia kama watoto!

Wana sahau majipu yakikamuliwa yanauma hivyo wavumilie...
 
kwa bakhresa kodi ni chuki ila kwa mbowe kodi ni kuwanyoosha
teh teh teh

Unafki mbaya sana
Mkuu huu ni uzi una ihusu Bills ya Mbowe na ukwepaji kodi kwa kuto toa risiti...
 
hizi id zinaficha mengi, mtu na akili zake anatukana mtu aliyeleta jambo zuri linalohitaji mjadala makini
kama mada imekugusa ielezee mada sio kumuelezea mtu! Nakereka kweli na watumwa wa fikra

mfano club moja tu, inakusanya milioni 20 mlangoni. Tufanye club 20 zenye ukubwa kama huo zinakwepa kodi weekend moja. Kwa mwezi weekend nne. Kwa mwaka.

Hapo bado upotevu wa kodi kubwa serikali inayokosa kutokana na vinywaji vinavyopandishwa bei mno. Mfano bia moja ni shs 4000. Wateja 2000 wanakunywa bia ngapi? Soda ngapi? Total lost revenue ni kubwa mno. Uko ulazima wa kuwa na efd mashine kwenye kumbi zote, kwenye mikusanyiko yote inayotoza viingilio na kadhalika. Hii inahusu pia fiesta za clouds, uko dar live na maeneo chungu mzima. Upumbavu wa tra, wanadhani weekend hamna mapato, wakati weekend ndo watanzania wanatumia mno pesa zao
 
kweli kabisa. MOYO UNANIUMA NIKIONA MTU HALIPI KODI,MTU HATOI RISITI. NAUMIA SANA

wakwepa kodi wakubwa na wanohujumu nchi hii huwaoni??? Afu unaushahidi? chini ya CCM hataisha haya labda yesu arudi
 
akina chenge wanaiba pesa zetu mnajifanya hamuoni jitahidi sana kuwa flexible.

mkuu anayekwepa kodi ni adui wa tanzania, huyo chenge kama anakwepa kodi, tumuumbue hapa hapa jf, sio yeye tu, yeyote yule, kodi haina chama.

Mimi nimeanza na hili jipu la kumbi za starehe, zote, sio billcanas pekee lazima ziwe na efd mashine mlangoni.lazima zitoe risiti za uuzaji vinywaji.

Kumbi zote tu mzee, dar live, mafiesta ya clouds, huko escape 1, mwanza na popote tanzania kwenye kumbi za starehe lazima kuwe na efd mlangoni, tukilipa viingilio lazima tupewe risiti
 
Kama ushahidi upo hatua zichukuliwe, kama hakuna ushahidi ushabiki hautasaidia
Swali kwanza la kujiuliza wanao kwenda Club bills wakilipa kiingilio hupewa risiti? Club Bills wana EFD machine pale mlangoni? mwenzio kaenda na kanyimwa risiti una tegemea nini hapo?
Mleta mada huna lolote ushakunaku umekujaa tyu! Huwezi kuwa na club katikati ya mji posta kama bilizz ukwepe kodi. Kajipange.
 
wana ukawa wamelalamika???

mkuu hapa tunalala mbele na ukwepaji wa kodi kwenye kumbi za starehe.

Mambo ya ukawa hayanihusu. Ukawa hawajakwepa kodi.

Tunalala mbele na wakwepa kodi,
ningekushauri uanzishe uzi wako kwa ajili ya kodi kwa vyama vya siasa.
 
TANZANIA KWANZA VIKOJOZI BAADAE
hahahaha Chakaza huyu MTU VIP ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom