Bilioni 61 zatumika kulipana posho TANESCO

Bilioni 61 zatumika kulipana posho TANESCO

Ni kipi cha ajabu!?

Wizara zina bajeti, na mashirika hali kadhalika, kama hizo pesa zipo ndani ya bajeti iliyoidhinishwa, no problems! Kama ni nje ya utaratibu na bajeti zao siieyiijiii atatuletea mrejesho soon!
 
Huku Maharage anadai hana fedha za kuhimili mita za 27000 shs
Katika uongo ambao uko wazi ni huu. Huwa najiuliza sana aisee. Kweli Tsh 27000/- isifunge mita ? Kama vijijini jambo linawezekana na route zao ni ndefu iweje hili mjini lishindikane na existing line ziko karibu kona ? TANESCO hela ipo.
 
Daah kweli ukipenda chongo huita kengeza
Ubaya wa uovu kadiri unavyozidi kuufanya unauzoea na unauona wa kawaida. Hili ndilo linalo onekana, hapo wenzako wanaona kawaida tu, ndiyo tunarudi katika maana ya msemo huo.
 
Posho ni halali
Posho si halali kwa mfanyakazi anayelipwa mshahara kwa kufanya kazi hiyo hiyo hiyo kwa vile huwa haiko kwenye bajeti ya kazi hiyo. Posho za wabunge pia siyo halali ila sasa wao wamziweka kwenye bajeti
 
U
Kwani Hawa viazi mbatata wa Kibwengo magufuli wanajua Hilo.

Wao ilimradi wamepata Agenda
Utakuta suruari yako kwa nyuma ina tobo huku unajiona mjanja kuwalinda watoboa suruali
 
U

Utakuta suruari yako kwa nyuma ina tobo huku unajiona mjanja kuwalinda watoboa suruali
Kaa hapo kidogo

IMG_20220424_220618.jpg
 
Sitting allowance sio posho ni wizi wa mchana...vikao ni sehemu ya kazi mshahara unatosha
 
Back
Top Bottom