Bilioni 20 za maandazi na keki.Kuna kipindi ninefanya kazi hotel mojawapo dodoma tulipata kushinda zabuni ya kupeleka break fast kwenye ofisi za NSSF na TANESCO aseee ile chai tuliokuwa tunaipelekea pale kila siku sio ya kitoto aseee pesa inaliwa na mchana watumishi almost wootw wanakuja kula buffet hotelin jaman nyie nyie nyie nyie nyie
Mbona mleta maada amesema bi ndani ya miezi 11 iliyopitaUnajua hizo pesa zimetumika kipindi gani?
Unaweza ukawa unamkaanga sgang mwenzako kalemani
Au baada ya kumpumzisha makamba kwa almost 2 weeks saivi mmeamua kurudi tena kwa Makamba nyie sgang?[emoji23][emoji23][emoji23]
Una uhakika?Mbona mleta maada amesema bi ndani ya miezi 11 iliyopita
Hio billion 61 wameila mashirika mangapi? Ushajiuliza?Iyo billion 61 inaingia mara ngapi kwa ile Trilion 1.5 ambayo tu tone baharini iliyowekwa wazi?
Tafuta full story ukute nika 2020 to 2021 au kabla .....Huku Maharage anadai hana fedha za kuhimili mita za 27000 shs
Doto James alikufa au yuko hai?Kipindi Cha magufuli hizi bilion 60 zilikuwa sio pesa kina Doto James wamepiga sana. Huamin muulize makam wa Rais afu hoji Ile ripoti ya ukaguzi wa BOT!!!.
Acha watu wale pesa maana watu wakidai katiba mpya itakaemshughulikia Kila mtu mnakuja na hoja za kiccm. Ni ujinga kuleta Uzi wa pesa za umma wakati unapinga kuwa na KATIBA MPYA ambayo ndio msingi wa kuwa Taasisi imara zitakazomshughulikia Kila mtu bila kuangalia ni nani na yupo nyuma ya nani.
Tanzania ni nchi maskini ukumbukeKwani Marekani hawalipani Posho kiasi hiki ?
Au sababu ni Tanzania ishakuwa Makamba..., Tanesco..., Makamba..., Tanesco !!!
Kwani wanakula ya mama au baba yao?Kipindi Cha magufuli hizi bilion 60 zilikuwa sio pesa kina Doto James wamepiga sana. Huamin muulize makam wa Rais afu hoji Ile ripoti ya ukaguzi wa BOT!!!.
Acha watu wale pesa maana watu wakidai katiba mpya itakaemshughulikia Kila mtu mnakuja na hoja za kiccm. Ni ujinga kuleta Uzi wa pesa za umma wakati unapinga kuwa na KATIBA MPYA ambayo ndio msingi wa kuwa Taasisi imara zitakazomshughulikia Kila mtu bila kuangalia ni nani na yupo nyuma ya nani.
Uzi unasema kipindi cha miezi kumi iliyopita,Magufuli kafariki Mwaka mmoja umepita Sasa,msome vizuri ni awamu ya sitaKwani Hawa viazi mbatata wa Kibwengo magufuli wanajua Hilo.
Wao ilimradi wamepata Agenda
cha shujaaWamelipana kipindi cha mwaka gani hadi lini?
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa !!Huku Maharage anadai hana fedha za kuhimili mita za 27000 shs
Sasa mleta siledi analilia nini?cha shujaa
Daaaa hata kama halali ndo 61b posho????????
UTAWEZA KUINGIA KWENYE MFUMO KWA KUTUMIA UBINI WA NANI ??!!!! HIVI HUWA UNADHANI UNAWEZA UKAINGIA KWENYE MFUMO HIVI HIVI TU ?? you must be joking !!!!!TUNALAMBA ASALI makamba SR VOICE, ILA VIJANA WENZAGU TUTAISHIA KULALAMIKA TUINGIE KWENYE MFUMO NASISI TULE, HUU NI WAKATI WA KULA, TUTAISHIA KUNYOOSHEA VIDOLE WATU FISADI WAKATI WANA KULA WEWE UNABAKI KUZABAA, NAWASIHI MSIFANYE MAKOSA TENA.
www.elibrary.imf.org
Mifumo ni mingi sio kila kitu tukuwekee hapa, jiongeze ndugu, unaweza ukawaanzisha biashara ukakwepa kodi, wewe vipi, in general tafuta chaka ule, wewe toka tuseme kina chenge wezi umeongeza nini katika mfuko wako? wewe endelea kulala wenzio wana piga, mimi sifanyi makosa hayo tena, in facts nataka nyie humu jamii forums ndo mje mseme mwana familia mwenzetu wa jamiifroums xxxx ni fasadi.UTAWEZA KUINGIA KWENYE MFUMO KWA KUTUMIA UBINI WA NANI ??!!!! HIVI HUWA UNADHANI UNAWEZA UKAINGIA KWENYE MFUMO HIVI HIVI TU ?? you must be joking !!!!!