Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,093
Daah kweli ukipenda chongo huita kengeza
Taasisi ya tanesco inawafanyakazi wangapi?.. kazi zao nyingi zinatafuna hadi off day
Daah kweli ukipenda chongo huita kengeza
Daaaa hata kama halali ndo 61b posho????????
Lazima utakuwa na utapia mloKwani Hawa viazi mbatata wa Kibwengo magufuli wanajua Hilo.
Wao ilimradi wamepata Agenda
Magufuli zile 1.5T zilikuwa za baba yake au mama yako?. Mbona hukuhoji wewe Teleza!!.Kwani wanakula ya mama au baba yao?
Yaani watukamuwe halafu wewe unashabikia?
Mamayo wewe!
Dah....Bora umesema mkuu.....Kuna mipuuzi humu ndani hata haujui urefu wa kamba ya Tanesco inapoishia....halafu inaropoka ropoka tu....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kulipana posho si vibaya ni halali kwa mfanyakazi kupata posho anapotimiza majukumu yake
Dah....Bora umesema mkuu.....Kuna mipuuzi humu ndani hata haujui urefu wa kamba ya Tanesco inapoishia....halafu inaropoka ropoka tu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah....wizi au posho havihusiki hapa....suala Ni urefu wa kamba yao🤣🤣🤣🤣Afu huo sio wizi posho ni haki ya mfanyakazi
Hawezi kumtoa, anaogopa ndugu za jamaa watamuona ni aduiTutaandika nini ili Mama amtoe hapo huyo mwanaye Mwezi wa kwanza?
Inakera sana na inakatisha tamaa sana Kwa walipa kodi, kulipa kodi ili viongozi wakagawane?
Nakubaliana na wote wanaodai kuwa katiba ni mbovu, haina meno ya kumng'ata Rais anapomaliza muda wa kuongoza?
Ingelekuwa na meno, Mama asingeweza kukubali kuwa na mawaziri majizi ambayo hata mwaka na nusu hayajamaliza, lakini hasara yaliyoitengenezea nchi, ni mabilioni ya fedha
UmeonaaaaDaah kweli ukipenda chongo huita kengeza
Kwahiyo hata neno "malipo mengine hayakufuata utaratibu" hukuliona?Taasisi ya tanesco inawafanyakazi wangapi?.. kazi zao nyingi zinatafuna hadi off day
Mwingi mpaka unamwagika...
Kwahiyo hata neno "malipo mengine hayakufuata utaratibu" hukuliona?
Uliza Raia Mwema watakupatia😂😂😂Ndio sikuliona. Unaweza nisaidiwa utaratibu wa malipo ukoje
HamaHivi Dau bado hajarudishwa? Assad?
Naihurumia nchi yangu