Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,731
- 15,188
Gazeti la Raia mwema la leo limekuja na ufisadi wa kutisha uliofanywa na shirika la Tanesco kwa miezi kumi iliyopita kwa kutumia zaidi ya billioni 61 kwa kulipana posho viongozi wa shirika hilo la uma kila wanapofanya vikao au ziara mbalimbali za kikazi ndani ya nchi.!
Hata hivyo Zito Kabwe amesifia hali hiyo na kusema hayo ni matumizi ya kawaida tu.
Hata hivyo Zito Kabwe amesifia hali hiyo na kusema hayo ni matumizi ya kawaida tu.