julieth seif
New Member
- Nov 28, 2014
- 1
- 0
Daaaah..noma saaana
Ahaaa....labda marehemu atakuwa alikuwa ni EPA + RICHMOND + ESCROW - MKOMBOZI BENKI =Bilionea wa Nigeria.
watafukua tu wajanja... hata waweke cement iliyotengenezwa mars,
watu na imani zao za ovyo, mtu akifa wekeni awe mbolea energy irudi udongoni, mengine yote ubabaishaji tu
Who is serikali?serikali imekubali upuuzi huo au wanamzika kwenye eneo lake
Duuuu...na je je huyu hapa atazikwa na nini?
ninawasiwasi na wewe hujapata mgao kweliahaaaaa/.......mzeee wa noti mlima?