Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Ndo matatizo ya kusoma kayumba ....ungesoma international kama mm usingepatashida neno first ever ( Kwa mara ya kwanza ....au huko nyuma Haijawahi tokea)

Bado hujachelewa....njoo Kwa RAS SIMBA mbeya tujifunze ngeli

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Haijawahi kutokea kwenye CAFCC na si mashindano ya CAF maana Simba kacheza fainali CAF Cup na si CAFCC na hii wameweka kwenye website yao rasmi ila wewe hujui jinsi ya kuungia na simu yako ya Teckno
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hizo ni kauli za kujifariji tu.
  • Simba imecheza mwaka 1993 kipindi inaitwa CAF Cup. Yanga alikuwa wapi?
  • Simba amecheza Shirikisho na kuishia robo mara nyingi zaidi kuliko Yanga
  • Simba amecheza Champion League na kufika robo mara nyingi kuliko Yanga
  • Simba imecheza AFL (Africa Footbal League) a.k.a Super Cup ambapo Yanga hajacheza hata mechi moja
  • Kwenye mechi za kimataifa za CAF, Simba amemzidi Yanga mbali sana kiubora.
Sasa hivi mnasema kombe la wanawake, tena mnalizungumzia na kumbuka mlitengenezea na documenyary
 
Watoto wa 2000 hamjui kuwa Simba ni timu ya kwanza Tanzania kucheza fainali mashindano ya CAF.Hawa hapa CAF wenyewe kwenye website yao rasmi wanawaumbua
Ni sawa. 1993 kipindi Simba anacheza fainali. Yanga ilikuwa wapi?
Simba amecheza mashindano ambayo Yanga hawezi kucheza
 
Haijawahi kutokea kwenye CAFCC na si mashindano ya CAF maana Simba kacheza fainali CAF Cup na si CAFCC na hii wameweka kwenye website yao rasmi ila wewe hujui jinsi ya kuungia na simu yako ya Teckno
Soma hapo
JamiiForums1494151043.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wa yanaga mnafanya nisipende mpira kabisa kudadadeki zenu
 
Hizo ni kauli za kujifariji tu.
  • Simba imecheza mwaka 1993 kipindi inaitwa CAF Cup. Yanga alikuwa wapi?
  • Simba amecheza Shirikisho na kuishia robo mara nyingi zaidi kuliko Yanga
  • Simba amecheza Champion League na kufika robo mara nyingi kuliko Yanga
  • Simba imecheza AFL (Africa Footbal League) a.k.a Super Cup ambapo Yanga hajacheza hata mechi moja
  • Kwenye mechi za kimataifa za CAF, Simba amemzidi Yanga mbali sana kiubora.
Sasa hivi mnasema kombe la wanawake, tena mnalizungumzia na kumbuka mlitengenezea na documenyary
Kuhusu shirikisho kuitwa kombe la wamama ...ni yule kiongozi wenu alilopoka

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
simba imewafundisha yanga kufika hatua yamakundi klabu bingwa lakini yanga wameshindwa kwenda robo fainali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom