Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,388
Fikiria Sheria za uchaguzi ziwe Bora kuliko za sasa, wasimamizi wa uchaguzi wawe huru na wawajibike Kwa makosa ya kiuchaguzi watakayoyafanya.
Wazia jeshi la polisi lisizuie au kuingilia shughuli za kisiasa za vyama pinzani kwa CCM wakati wa uchaguzi.
Itokee kuwe na tume huru ya uchaguzi kimuundo na kioperesheni. Tume isiyopelekeshwa na CCM.
Hapo CCM inawezaje kushinda uchaguzi?
Wazia jeshi la polisi lisizuie au kuingilia shughuli za kisiasa za vyama pinzani kwa CCM wakati wa uchaguzi.
Itokee kuwe na tume huru ya uchaguzi kimuundo na kioperesheni. Tume isiyopelekeshwa na CCM.
Hapo CCM inawezaje kushinda uchaguzi?