Bila ya kibali marufuku "Live coverage" Ikulu

Bila ya kibali marufuku "Live coverage" Ikulu

Status
Not open for further replies.
Tuacheni ujuha na ushabiki. Ikulu ni sehemu nyeti kwa nchi yoyote. Juzi ITV walikuwa wanazunguka maeneo mbalimbali ndani ya Ikulu wakiwa live kila mtu anaona lazima tuwe wakweli haikuwa sahihi ki usalama wa nchi yoyote. Mimi nakubaliana na hoja kukiwa na tukio lolote vyombo vya habari viombe kibali vipewe mwongozo ni maeneo gani wanaruhusiwa kurusha live. Siyo kila eneo linarushwa live kila mtu anaona. Tusijitoe ufahamu juu ya usalama wa nchi kana kwamba hatuelewi kwamba usalama wa nchi yoyote kitovu chake ni Ikulu

Namashaka na unyeti unaouona leo, kumbuka kipindi alichokuja Bush na Obama, huo unyeti ulikuwepo?
 
Tuacheni ujuha na ushabiki. Ikulu ni sehemu nyeti kwa nchi yoyote. Juzi ITV walikuwa wanazunguka maeneo mbalimbali ndani ya Ikulu wakiwa live kila mtu anaona lazima tuwe wakweli haikuwa sahihi ki usalama wa nchi yoyote. Mimi nakubaliana na hoja kukiwa na tukio lolote vyombo vya habari viombe kibali vipewe mwongozo ni maeneo gani wanaruhusiwa kurusha live. Siyo kila eneo linarushwa live kila mtu anaona. Tusijitoe ufahamu juu ya usalama wa nchi kana kwamba hatuelewi kwamba usalama wa nchi yoyote kitovu chake ni Ikulu
Well said mkuu, hata mimi kitendo cha ITV kilinishangaza sana!!!
 
Unaongelea Ikulu hii ya magogoni ambako CIA wanaijuwa kuliko ikulu yao ya Marekani?
Hii hii kiongozi, tujivunie tu ya magogoni vile ya Obama sio levo yetu.
 
Kuweni waelewa kurusha live siyo vizuri kweli kama alivyofanya Sam mahela wa ITV Siku ya kuapishwa alikuwa anavamia tu kila chumba kila MTU pale ikulu kiukweli aliichoresha chocho zote za mle ndani, hakulenga eneo moja....!!
 
Unaongelea Ikulu hii ya magogoni ambako CIA wanaijuwa kuliko ikulu yao ya Marekani?

Mbona umeenda mbali sana Kagame wa Rwandwa ?naifafamu ikulu zaida ya jk mwenyewe
 
Hivi mtu anaweza ingia Ikulu bila kibali au kualikwa na Ikulu? kwanza ikulu ni "restricted area" huyo mtu anaekwenda kupiga picha pasiko kupata kibali anapata wapi huo ujasili? hata nyumbani kwangu huwezi ingia hovyohovyo eti kwa sababu wewe ni rafiki yangu hapana.

Kwanza inapaswa taarifa za serikali kwa umma zitolewe na chombo cha umma pekee (TBC)na sio kila mtu kujipigia mapicha na kurusha kwenye facebook.
 
Nilichokielewa hapa ni kuwa,kabla ya Pombe, ikulu palikuwa almost similar na Bar, watu walikuwa wanajiendea tu na kufanya wayatakayo. Tulipokuwa tukisema udhaifu wa mtangulizi wa Pombe,tulikuwa sahihi kabisa ila mlituona wajinga!
 
Tuacheni ujuha na ushabiki. Ikulu ni sehemu nyeti kwa nchi yoyote. Juzi ITV walikuwa wanazunguka maeneo mbalimbali ndani ya Ikulu wakiwa live kila mtu anaona lazima tuwe wakweli haikuwa sahihi ki usalama wa nchi yoyote. Mimi nakubaliana na hoja kukiwa na tukio lolote vyombo vya habari viombe kibali vipewe mwongozo ni maeneo gani wanaruhusiwa kurusha live. Siyo kila eneo linarushwa live kila mtu anaona. Tusijitoe ufahamu juu ya usalama wa nchi kana kwamba hatuelewi kwamba usalama wa nchi yoyote kitovu chake ni Ikulu

Tulishasema huyu sam mahela ni kijana wa hovyo sana lakini hamkuelewa sasa kapiga picha bafuni kwa mkuu, sasa tunajua ofisi ya mkuu wa nchi iko ghorofani! na hakuna lift ya kwenda huko na ngazi ni moja tu, usalama haupo tena. Nilijiuliza ilikuwaje maalim saif alienda na wapiga picha hadi ofisini kwa mkuu? maofisa usalama wa ikulu lazima watizamwe upya.
 
Hapo issue sio nini wala nini.. Hapo ni kumlinda bwana kiongozi, si mnajua kauli zake na maamuzi yake yalivyo!! so ili kuavoid hilo wameona watoe live coverage coz huwezi kuedit... na kama live coverage itakuwepo basi inakua so official... Jamaa wanaakili sana!!!
 
Tulishasema huyu sam mahela ni kijana wa hovyo sana lakini hamkuelewa sasa kapiga picha bafuni kwa mkuu, sasa tunajua ofisi ya mkuu wa nchi iko ghorofani! na hakuna lift ya kwenda huko na ngazi ni moja tu, usalama haupo tena. Nilijiuliza ilikuwaje maalim saif alienda na wapiga picha hadi ofisini kwa mkuu? maofisa usalama wa ikulu lazima watizamwe upya.

hii ikulu yetu mataifa ya kigeni yanaijua vizur kulko yanavozijua nyeti zao wenyewe!!

mfano CIA alipokuja obama watakua walipekenyua mpk vitanda vya mkwere
 
hii taarifa imekaaje. Naona kama Magufuli tayari anavamia uwanja. Mpira ni dakika 90 sio tano za mwanzo!


Anarudisha heshima ya Ikulu. Rais wsikubbaishe kuwa na msimamo wako. Ikulu ni sehemu a kazi sio ya maonyesho!!!!
 
Tulishasema huyu sam mahela ni kijana wa hovyo sana lakini hamkuelewa sasa kapiga picha bafuni kwa mkuu, sasa tunajua ofisi ya mkuu wa nchi iko ghorofani! na hakuna lift ya kwenda huko na ngazi ni moja tu, usalama haupo tena. Nilijiuliza ilikuwaje maalim saif alienda na wapiga picha hadi ofisini kwa mkuu? maofisa usalama wa ikulu lazima watizamwe upya.

Well said mkuu. LIKED
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom