hii ikulu yetu mataifa ya kigeni yanaijua vizur kulko yanavozijua nyeti zao wenyewe!!
mfano CIA alipokuja obama watakua walipekenyua mpk vitanda vya mkwere
Tuache utani tunahitaji kujenga ikulu mpya hii ya mkoloni haifai tena, fikiria imejengwa na mjerumani sijui ni ya miti na fitto ikakandikwa udongo manake wakati ule walitoa wapi saruji! haina hata lift ya kupanda ghorofani, Uganda na Kenya wameshajenga ikulu mpya tumebaki sisi tu.
Haya ndo yaliyosababisha wafaransa wakamkamata gagbo akiwa amelala kitandani kwani walijua chocho zote za ikulu na wao ndo walioijenga. mwinyi aliikuta haina hata uzio akijitahidi akaweka japo uzio, mkapa akakuta paa linavuja akaweka supaglue kikwete kaweka angalau ukumbi wa mikutano, mwishowe itakuja poromoka kwa ukarabati usioisha.