Bila ya kibali marufuku "Live coverage" Ikulu

Bila ya kibali marufuku "Live coverage" Ikulu

Status
Not open for further replies.
Hii taarifa kwa kweli haiko sawa..ina maana hata watoto show haziruhusiwi kuonyeshwa?
 
Hata ndani ya nyumba yako kama unaishi na familia yako, ndugu au jamaa zako kuna sehemu zingine lazima ubishe hodi kabla hujaingia ndani ya vyumba.

Huu ni utaratibu wa kawaida taasisi mbali mbali achilia mbali Ikulu.
 
Hata ndani ya nyumba yako kama unaishi na familia yako, ndugu au jamaa zako kuna sehemu zingine lazima ubishe hodi kabla hujaingia ndani ya vyumba.

Huu ni utaratibu wa kawaida taasisi mbali mbali achilia mbali Ikulu.

Hebu isome hiyo taarifa vizuri..
 
ikulu imebinafsishwa kwa magufuli anaanza kuwewesea asubuhi na mapema vyombo vikimsusia kurusha habari zake anadhani TBC itamtosha
Ikulu siyo bar kwamba unakwenda tu ukijisikia vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Kuja kufanya "Live Coverage"ndio nini?yaani ofisi kubwa kama ikulu imekosa maneno sahihi ya Kiswahili!
 
Kwa hiyo hii ina maana mwanzoni walikuwa wanaingia tu kufanya live coverage bila kibali!? Basi JK aliendeleza ushikaji sana.
 
Tatizo ni "Live coverage" au ni aina ya "Live Coverage" au wanaofanya hiyo "LiveCoverage", ama wanaoonesha hiyo "Live Coverage" inawezekana ikawa ni sehemu inapofanyika "Live coverage" labda na Mtu mwenyewe anayehojiwa kwenye hiyo "Live coverage"? Naomba kibali cha kujibiwa haya maswali yangu kwa kutumia "Live Coverage".
 
Naona kama kibano kwa ITV,jana walikuwa live wakati jamaa anaingia pale.
Tuna safari ndefu.
 
Hii taarifa kwa kweli haiko sawa..ina maana hata watoto show haziruhusiwi kuonyeshwa?

live coverage zinazozungumziwa hapa ni za ikulu,ambazo si ruhusa kuzifanya isipokua kwa ruhusa maalum
 
Hivi ile email ni GOOGLEMAIL.COM? Anwani ya IKULU?

Hivi mbona tuna wataalam wa kuingilia mtandao wa NEC lakini wanashindwa kuunganisha e-mail address ya ikulu.com? ELIMU ya Tz ni taabu kabisa!
 
Kwani huyo Salva Rweyemamu na Michuzi si wanatakiwa waondoke na Mkwele wao? si walipeana kazi kishkaji tu?

Hiyo nafasi ya Salva naivizia Mimi hapo lazima iwe full Geita region!! Ha ha ha haaaaa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom