Bila Samia, Taifa Stars wasingefuzu

Bila Samia, Taifa Stars wasingefuzu

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,429
1767141032123.png
Hongera Samia kwa kuwezesha Taifa Stars kufuzu mpambano wa ubingwa wa soka Afrika.

Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais.

Hawa Taifa Stars wanapaswa kukupongeza wewe na siyo wewe kuwapongeza. Maana, kila walipokuwaza, nguvu zao za kimwili ziliongezeka. Kila wakiwazia picha yao, misuli yao ilizidi kupata nguvu. Kila wakikumbuka kushindwa, waliogopa kutekwa na kupotezwa. Pia, waliogopa kuvuruga amani. Hakuna kitu kimewawezesha kama kuwa nje wakizungukwa na mabeberu.

Kama wazalendo, wakikukumbuka wewe mlezi na mhimili wa taifa anayehurumia viumbe wote hata wadudu kama chawa, wallingiwa na mori wa kushinda.

Wakikumbuka matendo yako, huwa kama wamasai wakiogopa kushindwa na kujikuta wasikotaka.

Wakimkumbuka Abduli ndiyo usiseme. Ilikuwa ni lazima washinde.

HONGERA SAMIA KWA TAIFA STARS KUFUZU.
 
View attachment 3522964
Hongera Samia kwa kuwezesha Taifa Stars kufuzu mpambano wa ubingwa wa soka Afrika. Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais. Hawa Taifa Stars wanapaswa kukupongeza wewe na siyo wewe kuwapongeza. Maana, kila walipokuwaza, nguvu zao za kimwili ziliongezeka. Kila wakiwazia picha yao, misuli yao ilizidi kupata nguvu. Kila wakikumbuka kushindwa, waliogopa kutekwa na kupotezwa. Pia, waliogopa kuvuruga amani. Hakuna kitu kimewawezesha kama kuwa nje wakizungukwa na mabeberu. Kama wazalendo, wakikukumbuka wewe mlezi na mhimili wa taifa anayehurumia viumbe wote hata wadudu kama chawa, wallingiwa na mori wa kushinda. Wakikumbuka matendo yako, huwa kama wamasai wakiogopa kushindwa na kujikuta wasikotaka. Wakimkumbuka Abduli ndiyo usiseme. Ilikuwa ni lazima washinde. HONGERA SAMIA KWA TAIFA STARS KUFUZU.
You could be sick!
 
View attachment 3522964
Hongera Samia kwa kuwezesha Taifa Stars kufuzu mpambano wa ubingwa wa soka Afrika. Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais. Hawa Taifa Stars wanapaswa kukupongeza wewe na siyo wewe kuwapongeza. Maana, kila walipokuwaza, nguvu zao za kimwili ziliongezeka. Kila wakiwazia picha yao, misuli yao ilizidi kupata nguvu. Kila wakikumbuka kushindwa, waliogopa kutekwa na kupotezwa. Pia, waliogopa kuvuruga amani. Hakuna kitu kimewawezesha kama kuwa nje wakizungukwa na mabeberu. Kama wazalendo, wakikukumbuka wewe mlezi na mhimili wa taifa anayehurumia viumbe wote hata wadudu kama chawa, wallingiwa na mori wa kushinda. Wakikumbuka matendo yako, huwa kama wamasai wakiogopa kushindwa na kujikuta wasikotaka. Wakimkumbuka Abduli ndiyo usiseme. Ilikuwa ni lazima washinde. HONGERA SAMIA KWA TAIFA STARS KUFUZU.
Bado mnaendelea kuifanya timu kama mtaji wa ccm kisiasa?
 
Huu uzi wa kihuni umejaa sarcasm kwa Mh Rais. Mleta uzi acha upuuzi.
 
Usemacho ni kweli. Uzi huu ni upuuzi kwa wapuuzi na madini kwa wenye akili.
Mimi ni mtu mwenye akili nyingi ndo maana nimeona huu uzi wa kihuni wa kumdhihaki Rais kipenzi cha watanzania. Acha uhuni ndugu. Usitumie uwepo wa wajinga wengi humu kuandika nyuzi za aina hii.
 
Ni kweli magoli ya mama yamesaidia sana kuongeza morali ya wachezaji, Hongera mama mi5 tena tuko nawewe mpaka 2035,
 
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Samia Hassan Suluhu ameisaidia taifa stars kufuzu hatua ya 16 mashindano ya AFCON
Aidha raisi amewashukuru sana wananchi na wanamichezo pamoja na wachezaji kwa kuiheshimisha Tanzania

How
Kuna watu watajiuliza ni kivipi tunamsema raisi....ni kwasababu ya factor mbalimbali kama motivation za kuwapa pesa wachezaji.....pia kuhamasisha michezo

Taifa stars imepita kama best looser kwa mara ya kwanza na inatarajiwa kukipiga na morocco ter 4. Jan

1767158680589.jpg
 
Mimi ni mtu mwenye akili nyingi ndo maana nimeona huu uzi wa kihuni wa kumdhihaki Rais kipenzi cha watanzania. Acha uhuni ndugu. Usitumie uwepo wa wajinga wengi humu kuandika nyuzi za aina hii.
Ni kweli, una akili nyingi ila za kichawa. Unasema eti ni kipenzi cha wananchi. Senzi we. Ni kipenzi cha machawa mnaolishwa damu zetu. Wananchi gani wakati wengi ameamuru wauwawe na kutupwa baharini? Uhuni sijui kama unaujua. Mhuni inzi na wewe.
 
Back
Top Bottom