The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,429
Bila uwezo wako wa ajabu wa kutenda miujiza, haya yangetokeaje? Nakushukuru sana rais.
Hawa Taifa Stars wanapaswa kukupongeza wewe na siyo wewe kuwapongeza. Maana, kila walipokuwaza, nguvu zao za kimwili ziliongezeka. Kila wakiwazia picha yao, misuli yao ilizidi kupata nguvu. Kila wakikumbuka kushindwa, waliogopa kutekwa na kupotezwa. Pia, waliogopa kuvuruga amani. Hakuna kitu kimewawezesha kama kuwa nje wakizungukwa na mabeberu.
Kama wazalendo, wakikukumbuka wewe mlezi na mhimili wa taifa anayehurumia viumbe wote hata wadudu kama chawa, wallingiwa na mori wa kushinda.
Wakikumbuka matendo yako, huwa kama wamasai wakiogopa kushindwa na kujikuta wasikotaka.
Wakimkumbuka Abduli ndiyo usiseme. Ilikuwa ni lazima washinde.
HONGERA SAMIA KWA TAIFA STARS KUFUZU.
