Bila Quran hakuna amani: Kauli mbinu hii sijaielewa

Bila Quran hakuna amani: Kauli mbinu hii sijaielewa

Mashindano ya usomaji Quran mwaka huu yamepewa kauli mbiu "bila ya Quran hakuna amani"

Mimi sijaelewa Inaaanisha nini.
Hawahitambui hao, Kuna nchi nyingi sehemu nyingi hakuna Quran lakini Kuna amani kuliko huku kwenye Quran

China sehemu kubwa ni kama hakuna Quran lakini Kuna amani

Japan pia hakuna Quran, lakini Kuna amani

Hawa masheikh ni mabumunda
 
Hawahitambui hao, Kuna nchi nyingi sehemu nyingi hakuna Quran lakini Kuna amani kuliko huku kwenye Quran

China sehemu kubwa ni kama hakuna Quran lakini Kuna amani

Japan pia hakuna Quran, lakini Kuna amani

Hawa masheikh ni mabumunda
Bongo Kila jambo linasiasishwa!
 
Amani inaletwa kwa watu, wananchi kujitambua wanataka nini Kwa ajili ya Nchi yao..

Hizi dini mbili Zina history mbaya ya umwagaji damu , slavery, ukoloni mambo Leo.

Mpaka Leo Africa Bado inapambana na ukoloni mambo Leo kwa sababu za uislam na ukiristo
 
Shekh njoo uone maajabu ya mwaka hamis77
Nashukuru sana nilikuwa sijaona hiki kituko cha Bila Quran hakuna amani

Wakati Quran ndio Chanzo cha mifarakano duniani

Magaidi wote duniani Wana kauli mbiu zao za kuua wakristo na wayahudi kwa kutumia Quran

ilitakiwa waje na kauli mbiu

BILA QURAN ,AMANI ITASTAWI
 
Nashukuru sana nilikuwa sijaona hiki kituko cha Bila Quran hakuna amani

Wakati Quran ndio Chanzo cha mifarakano duniani

Magaidi wote duniani Wana kauli mbiu zao za kuua wakristo na wayahudi kwa kutumia Quran

ilitakiwa waje na kauli mbiu

BILA QURAN ,AMANI ITASTAWI
Blender wewe ndiye uliyemualika hamis77

😀😃😆
 
Back
Top Bottom