Ni BM bro. Fanya utafiti upyaKatika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Rudia uchunguzi wako ndugu. Tafuta UDOM ilianza lini (2007) na Nani alikua RaisNi BM bro. Fanya utafiti upya
Hakulazimika kuanzisha Chuo Kikuu kipya. Angeweza kukauka na hakuna kitu ungefanyaUnaona hiyo ni hisani ya JK na siyo wajibu wa serikali yake?
Dahh! Wasomi wa nchi hii mmekuwaje?
Huo mwaka udom ilianza kufanya nini?Rudia uchunguzi wako ndugu. Tafuta UDOM ilianza lini (2007) na Nani alikua Rais
Nikuulize wewe DadaHuo mwaka udom ilianza kufanya nini?
Ndio wasomi wetu hao. Ukisikia mtu anasema rais ametoa fedha, rais amejenga choo, tunaiomba serikali jua hilo ni tatizoUnaona hiyo ni hisani ya JK na siyo wajibu wa serikali yake?
Dahh! Wasomi wa nchi hii mmekuwaje?
UDOM mwanzilishi wake B.W, Mkapa
Hawana uelewa wa mamboUnaona hiyo ni hisani ya JK na siyo wajibu wa serikali yake?
Dahh! Wasomi wa nchi hii mmekuwaje?
UDOM mwanzilishi wake B.W, Mkapa
Mwenye uelewa wa mambo Unaishi Kwa shemeji na kuzunguka na bahasha ya khakiHawana uelewa wa mambo
He kumbe mleta mada ni bwege. Basi ndo maana unaandika utumboNikuulize wewe Dada
Bwawa la kufua umeme litakamilika huenda Rais Samia akiwa madarakani. Ikulu ya Chamwino imezinduliwa Rais Samia akiwa madarakani pia.Rudia uchunguzi wako ndugu. Tafuta UDOM ilianza lini (2007) na Nani alikua Rais
Ngombaru mwenzangu, tuliza komwe hilo Kwanza. JK ndio ali-push hata Chimwaga (likiwa Mali ya CCM iwe jengo la UDOM unayoiona leo).Bwawa la kufua umeme litakamilika huenda Rais Samia akiwa madarakani. Ikulu ya Chamwino imezinduliwa Rais Samia akiwa madarakani pia.
Acha kupotosha. Kikwete ndie brainchild wa University of DodomaNi BM bro. Fanya utafiti upya
Huo ni wajibu wakeKatika mengi aliyofanya Mstaafu JK Ni kuanzisha UDOM pamoja na kupata upinzani Kamati Kuu/Halmashauri Kuu.
#Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni#
Ni ujuha rais anatoa hela wapi kama sio zetu?Ndio wasomi wetu hao. Ukisikia mtu anasema rais ametoa fedha, rais amejenga choo, tunaiomba serikali jua hilo ni tatizo
Kikwete hana chakeAcha kupotosha. Kikwete ndie brainchild wa University of Dodoma