Bila kuweka siasa na Ujanja Ujanja, Hakuna Mkristo wa Kujibu hili Swali

Bila kuweka siasa na Ujanja Ujanja, Hakuna Mkristo wa Kujibu hili Swali

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
Iko wazi kabisa hakuna Jibu la kueleweka..

Hapa tutapuyanga sana kutafuta wakwe Halisi wa Adam na Eva ni kina nani

👇👇👇👇👇


Screenshot_20250513-112055.jpg
 
Adamu na Hawa Walizaa Watoto Wengine Zaidi ya Kaini na Abeli

Mwanzo 5:4
"Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane; akazaa wana, waume na wake."

Hili andiko linaonyesha kuwa Adamu na Hawa walizaa watoto wengi – “wana, waume na wake”, sio Kaini na Abeli tu. Kwa hiyo, Cain aliweza kumuoa dada yake au mpwa wake (binti wa ndugu yake wa damu).


Kaini Alikimbilia Nchi ya Nodi na Kuoa huko , ushahidi wa maandiko huu hapa👇👇👇


Mwanzo 4:16-17
"Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana, akakaa katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni. Kaini akamjua mkewe, naye akachukua mimba, akazaa Henoko."

Jibu la wazi ni kwamba Biblia haijaorodhesha kila uzao kwa mpangilio wa wakati, bali inatoa tu matukio makubwa. Kaini aliweza kumuoa dada yake au mjukuu wa Adamu – kumbuka, watu waliishi miaka mingi (zaidi ya miaka 900 kwa Adamu – Mwanzo 5:5), hivyo uzao ulienea mapema.

Kuoa Dada Yako Halikuwa Dhambi,Katika nyakati za mwanzo za binadamu, sheria ya kuzuia ndoa za damu haikuwa imewekwa bado.

Mambo ya Walawi 18:9 (Sheria hii ilikuja baadaye)
"Uchi wa dada yako, binti ya baba yako au binti ya mama yako, mzaliwa nyumbani au nje, usimfunue uchi wake."

Sheria hii ilikuja kupitia Musa maelfu ya miaka baadaye. Katika mwanzo wa historia ya binadamu, ilikuwa ni lazima binadamu wa kwanza waoe ndugu zao ili jamii iendelee.

Uwepo wa Watu Mashariki mwa Edeni (Nchi ya Nodi),Haimaanishi kwamba walikuwepo watu wengine tofauti na uzao wa Adamu. Hii inaonyesha kwamba muda mrefu ulipita, uzao wa Adamu ulienea, na baadhi yao walikuwa wanaishi maeneo ya mbali kama Nodi. Biblia haisemi kila kitu kwa undani wa historia ya kila mtoto wa Adamu.
 
Quran Haina inachojua

Picha linaaanza Quran haimjui mke wa Adam

Kama Kuna muislamu yeyote atanionesha jina HAWA kwenye Quran naahidi kutoa 1Millions CASH ya kitanzania
Inamaana adam alikuwa anapiga nyeto?
 
Hilo swali likinibiwa uje upate makongoro ya kitinoto na pua yake vikiwa vya moto.Utashushia "kakakola"!
 
"Kwa hiyo, Cain aliweza kumuoa dada yake au mpwa wake (binti wa ndugu yake wa damu").
Kumbe tulikulana wenyewe Kwa wenyewe Hadi tukaijaza Dunia!😳Na yule alie tembea na mabinti zake na kuwapa ujauzito ili waeneze Kizazi!Kumbe wahindi na waarabu kuoleana ndani ya familia hakuja anza Leo aisee!
 
Back
Top Bottom