Bila kupata msaada JF nafukuzwa kazi

Bila kupata msaada JF nafukuzwa kazi

abagabo

Senior Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
155
Reaction score
168
Habari wana JF,

Naomba msaada ktk shida yangu hii, ni kwamba kama wiki moja hivi laptop ya ofisi ikiwa na docs za ofisi ilipata shida ktk windows yake, na kwa bahati mbaya haikuwa na partition. nilichokifanya haraka niliingiza hires boot cd ili niweze kupata access ya docs hizo. hiyo laptop ilichokuwa imefanya mbaya zaidi ni kuficha partition



Lakini na nilipotumia hirens cd niliweza kuiona hiyo partition kwa ku-run recovery built-in program. na kwa kutumia cd hiyo nili-back up ma-folder yote na kuyaweka ktk external usb disk yangu. hapa naomba nieleweke, ni kwamba siku-back up partition bali nili-back up individual folders. nilipomaliza nikaformati laptop hiyo.


Jambo la ajabu yale ma-folder niliyo back up nilipokuja kuyaangalia nikakuta yamebadilika na kuwa archive.pfi, mengine yameandikwa archive.001, archive.002 .... na hayafunguki. nimetumia 7zip,winrar, izaarc bila mafanikio kwani nilifikiri naweza kuyaopen kwa kutumia either 7zip, au winrar. mpaka sasa ofisini kazi zimesimama.

Sina jinsi ya kufanya naomba mnisaidie kujua jinsi ya ku-access mafile haya vinginevyo kizazi changu kinachonitegemea kitapata shida. Msaada tafadhali wanaJF






 

Attachments

  • IMG_20140604_212613.jpg
    IMG_20140604_212613.jpg
    227.6 KB · Views: 229
  • IMG_20140604_212624.jpg
    IMG_20140604_212624.jpg
    180.7 KB · Views: 198
  • IMG_20140604_212632.jpg
    IMG_20140604_212632.jpg
    167.6 KB · Views: 183
  • IMG_20140604_212644.jpg
    IMG_20140604_212644.jpg
    177.7 KB · Views: 177
  • IMG_20140604_212724.jpg
    IMG_20140604_212724.jpg
    227.4 KB · Views: 170
  • IMG_20140604_211741.jpg
    IMG_20140604_211741.jpg
    188.3 KB · Views: 164
Ebu jaribu kutumia power archiver
 
Duh aisee,MW1 Rtc njoo usaidie huyu jamaa
 
Ebu jaribu kutumia power archiver

ngoja niitafute nicheki mziki wake. Ndugu zangu yaani tangu nimepost hapa sijatoka na wala sina mpango wa kutoka hapa kwami nasubiri msaada wenu. Nisaidieni jamani la sivyo mtoto wangu mkubwa wa miaka 4 sijui ataishije?
 
Habari wana JF,

Naomba msaada ktk shida yangu hii, ni kwamba kama wiki moja hivi laptop ya ofisi ikiwa na docs za ofisi ilipata shida ktk windows yake, na kwa bahati mbaya haikuwa na partition. nilichokifanya haraka niliingiza hires boot cd ili niweze kupata access ya docs hizo. hiyo laptop ilichokuwa imefanya mbaya zaidi ni kuficha partition



Lakini na nilipotumia hirens cd niliweza kuiona hiyo partition kwa ku-run recovery built-in program. na kwa kutumia cd hiyo nili-back up ma-folder yote na kuyaweka ktk external usb disk yangu. hapa naomba nieleweke, ni kwamba siku-back up partition bali nili-back up individual folders. nilipomaliza nikaformati laptop hiyo.


Jambo la ajabu yale ma-folder niliyo back up nilipokuja kuyaangalia nikakuta yamebadilika na kuwa archive.pfi, mengine yameandikwa archive.001, archive.002 .... na hayafunguki. nimetumia 7zip,winrar, izaarc bila mafanikio kwani nilifikiri naweza kuyaopen kwa kutumia either 7zip, au winrar. mpaka sasa ofisini kazi zimesimama.

Sina jinsi ya kufanya naomba mnisaidie kujua jinsi ya ku-access mafile haya vinginevyo kizazi changu kinachonitegemea kitapata shida. Msaada tafadhali wanaJF









Mkuu kwani uki double click inatokea nini ?

Mana files zako bado zipo hai !

Jaribu BitZipper

How do I extract files from a zip file, aka unzip a zip file?
 
je hayo mafile yana ukubwa unaoeleweka? au ni KBs? ili ujue kama kweli yana vitu ndani yake


Habari wana JF,

Naomba msaada ktk shida yangu hii, ni kwamba kama wiki moja hivi laptop ya ofisi ikiwa na docs za ofisi ilipata shida ktk windows yake, na kwa bahati mbaya haikuwa na partition. nilichokifanya haraka niliingiza hires boot cd ili niweze kupata access ya docs hizo. hiyo laptop ilichokuwa imefanya mbaya zaidi ni kuficha partition



Lakini na nilipotumia hirens cd niliweza kuiona hiyo partition kwa ku-run recovery built-in program. na kwa kutumia cd hiyo nili-back up ma-folder yote na kuyaweka ktk external usb disk yangu. hapa naomba nieleweke, ni kwamba siku-back up partition bali nili-back up individual folders. nilipomaliza nikaformati laptop hiyo.


Jambo la ajabu yale ma-folder niliyo back up nilipokuja kuyaangalia nikakuta yamebadilika na kuwa archive.pfi, mengine yameandikwa archive.001, archive.002 .... na hayafunguki. nimetumia 7zip,winrar, izaarc bila mafanikio kwani nilifikiri naweza kuyaopen kwa kutumia either 7zip, au winrar. mpaka sasa ofisini kazi zimesimama.

Sina jinsi ya kufanya naomba mnisaidie kujua jinsi ya ku-access mafile haya vinginevyo kizazi changu kinachonitegemea kitapata shida. Msaada tafadhali wanaJF





 


kwa uzoefu wangu mimi huwa natumia ACRONIS TRUE IMAGE, kufanya backup zangu na huwa inakuwa na extension ya filename.tib , na wakati wa kurudisha hayo mafaili ni lazima nitumie ACRONIS yenyewe,.. kwa sababu hiyo extension ya .TIB inatambulika na ACRONIS.

USHAURI:
Tumia Hiren's CD tena ili ku_restore backup, kwa sababu kila backup inatakiwa kurudishwa na program iliyotumika kuitengeneza. Usihangaike kutafuta program ya kufungua hayo mafaili, utachoka sana. lazima utumie HIREN's yenyewe

Hapa mimi nina backup yangu ya Acronis ya GB kibao, yenye extension ya .TIB ambayo bila acronis inaonekana kama Virus (Yaani haitambuliki)

Angalia backup file zangu hapo chini.

backup.JPG
 
yatakua na data zako hayo.

sasa tulia kama unanyolewa mav.....z. Copy hayo mafile kutoka kwy hiyo backup weka kwenye backup nyingine ya pili ili unapofanya manjonjo yako usije kukosa kila kitu.

Tumia hiyo backup ya pili kufanya try n error kwa njia utakazo shauri na wadau. pia jaribu wewe mwenyewe kugoogle ukielezea challenges unazopata unaweza fanikiwa.

Ushauri huu umewadia kwa hisani ya KK..MM...VV..Security.
 
chomoa hard disk. weka kwenye computer nyengine. install file recovery yoyote yenye option ya recover formatted partition. utapata mafile yako uliyoyaformat
 
epusha kuindika hiyo disk yako na chochote kabla ya kugonga hiyo recover deleted partition
 
yatakua na data zako hayo.

sasa tulia kama unanyolewa mav.....z. Copy hayo mafile kutoka kwy hiyo backup weka kwenye backup nyingine ya pili ili unapofanya manjonjo yako usije kukosa kila kitu.

Tumia hiyo backup ya pili kufanya try n error kwa njia utakazo shauri na wadau. pia jaribu wewe mwenyewe kugoogle ukielezea challenges unazopata unaweza fanikiwa.

Ushauri huu umewadia kwa hisani ya KK..MM...VV..Security.

wadau mie siko mbali na jf huku nikisubiri replies, kwa kifupi nidownload bitziper lakini napojaribu ku extract ina extract another archive hiyo hiyo.
 
kwa uzoefu wangu mimi huwa natumia ACRONIS TRUE IMAGE, kufanya backup zangu na huwa inakuwa na extension ya filename.tib , na wakati wa kurudisha hayo mafaili ni lazima nitumie ACRONIS yenyewe,.. kwa sababu hiyo extension ya .TIB inatambulika na ACRONIS.

USHAURI:
Tumia Hiren's CD tena ili ku_restore backup, kwa sababu kila backup inatakiwa kurudishwa na program iliyotumika kuitengeneza. Usihangaike kutafuta program ya kufungua hayo mafaili, utachoka sana. lazima utumie HIREN's yenyewe

Hapa mimi nina backup yangu ya Acronis ya GB kibao, yenye extension ya .TIB ambayo bila acronis inaonekana kama Virus (Yaani haitambuliki)

Angalia backup file zangu hapo chini.

View attachment 162606

mkuu za kwangu ni archives zenye extensions za .001, .002, e.t.c, hii balaa.
 
Unaposema ulibackup file unamaanisha nini EXACTLY, ulitumia program gani katika hiyo Hiren na ulifuata hatua zipi.
 
mkuu za kwangu ni archives zenye extensions za .001, .002, e.t.c, hii balaa.

ndio mkuu wewe usijali, shusha pressure chukua glass ya maji weka hapo mezani, kama HIREN's iliweza ku-Create backup basi lazima inaweza ku-Restore backup,. Kumbuka backup zilizotengenezwa kwa kutumia Backup software sio sawa na Backup zilizofanywa manually kwa ku-Copy files na ku-paste. pia hizo backup zinakuwa encrypted na pia compressed ki-vyake.


Pia kumbuka, hata backup iliyotengenezwa kwenye Windows kwa kutumia Windows Easy Transfer , huwa yanakuwa na extension .MIG ambayo huwezi kuifungua kwa WinRar au WinZip au Zzip
 
Unaposema ulibackup file unamaanisha nini EXACTLY, ulitumia program gani katika hiyo Hiren na ulifuata hatua zipi.

ANGALIA PICHA HIZI

View attachment 162640Program inaitwa paragon, inafunguka hivi, nili click kwenye smart back up ikafunguka kama picha hii chini inavoonekana.

View attachment 162644then nikafungua hapo kwenye other fails and folders na ikanipa option ya kuchagua mafolders kwenye partitions kama inavoonekana hapa chini.

View attachment 162645Nili back up folder zangu zote into external hdd, lakini angalia back up zangu zilivyo hapa chini, utaona ma-archives na size zao


View attachment 162646

na nikijaribu kurestore kwa kutumia paragon hii, napata sms hii ktk picha hii chini

View attachment 162647

ndo hivo, nisaidieni jamani
 
ndio mkuu wewe usijali, shusha pressure chukua glass ya maji weka hapo mezani, kama HIREN's iliweza ku-Create backup basi lazima inaweza ku-Restore backup,. Kumbuka backup zilizotengenezwa kwa kutumia Backup software sio sawa na Backup zilizofanywa manually kwa ku-Copy files na ku-paste. pia hizo backup zinakuwa encrypted na pia compressed ki-vyake.


Pia kumbuka, hata backup iliyotengenezwa kwenye Windows kwa kutumia Windows Easy Transfer , huwa yanakuwa na extension .MIG ambayo huwezi kuifungua kwa WinRar au WinZip au Zzip

kwa uzoefu wangu mimi huwa natumia ACRONIS TRUE IMAGE, kufanya backup zangu na huwa inakuwa na extension ya filename.tib , na wakati wa kurudisha hayo mafaili ni lazima nitumie ACRONIS yenyewe,.. kwa sababu hiyo extension ya .TIB inatambulika na ACRONIS.

USHAURI:
Tumia Hiren's CD tena ili ku_restore backup, kwa sababu kila backup inatakiwa kurudishwa na program iliyotumika kuitengeneza. Usihangaike kutafuta program ya kufungua hayo mafaili, utachoka sana. lazima utumie HIREN's yenyewe

Hapa mimi nina backup yangu ya Acronis ya GB kibao, yenye extension ya .TIB ambayo bila acronis inaonekana kama Virus (Yaani haitambuliki)

Angalia backup file zangu hapo chini.

View attachment 162606

Jamani akina CHIEF MKWAWA kujeni mtoe msaada


Hakuna MSAADA zaidi ya huu alio pewa, na akifuata huu lazima afanikiwe.
 
Back
Top Bottom