Bila kumuondoa madarakani Benjamin Netanyahu ataiangamiza dunia

Bila kumuondoa madarakani Benjamin Netanyahu ataiangamiza dunia

Huu mjadala una madini sana ikiwa tutatokea kujenga hoja bila kukashfiana. Kila mtu kwa upande anaosimamia aongee facts zake na mwenzake akosoe kwa anavyojua yeye. Matusi sio suala jema na wala haikupi heshima humu jukwaani kwa tusi lolote utakalosema. Kwa uzito wa hoja zinatoka kila upande ni dhahiri wote ni wasomi wazuri sana ila nashindwa kujua tunashindwa nini kukubaliana kutofautina katika mitizamo mbalimbali?
 
Israel sio nchi ya Waarabu... Arab kwao ni Arabian Peninsula.. punguza upumbavu wako.. Hamas ni Arabs namba wanaongea kiarabu Israel historia zote ni nchini ya Wana Israel Quran na Biblia zinathibitisha.. hao Arabia waliovuka mpaka namba wengine walipelekwa na Caliphate Umar na wengine manamba wa Ottoman empire ndio waseme Israel ni nchini yao.. pelekeni upuuzi misikitini pakee namba sio kwa public. Eti unafananisha na Mandela mwenu wewe

View: https://x.com/AJEnglish/status/1913955825833431124?t=lPvb3Sw9O3atmnNgoPA42A&s=19
 
Back
Top Bottom