Kuna binti wa ndugu yangu mwenye msimamo, yupo 34 na bado Bikra. Ana Masters ni Engineer na kikazi yupo shirika la umma na ni Permanent and pensionable. Anashindwa kupata mwanaume wa kumuoa kwa vile kila akipata mtu anakimbilia kumuonja. Hapo mnakosana. Bikra zipoBikira zipo, wapo wanawake wamejifunza vizuri tu na wamesoma binafsi mke wangu nimemkuta na bikira na ni digrii holder so bikira zipo, kama hauna sawa ila sababu za chemistry siziwepo
Zipo bwana kuna binti alikuwa na miaka 29 mwaka juzi ni bikra kabisa akiwa na mwanaume akigusia tu mambo ya kutaka kuonja mahusiano yanaishia hapo hapoKuna binti wa ndugu yangu mwenye msimamo, yupo 34 na bado Bikra. Ana Masters ni Engineer na kikazi yupo shirika la umma na ni Permanent and pensionable. Anashindwa kupata mwanaume wa kumuoa kwa vile kila akipata mtu anakimbilia kumuonja. Hapo mnakosana. Bikra zipo
Kama mwanaume hayupo serious mahusiano yanakufa. Maana si rahisi kumdanganya Bikra aliyepevukaZipo bwana kuna binti alikuwa na miaka 29 mwaka juzi ni bikra kabisa akiwa na mwanaume akigusia tu mambo ya kutaka kuonja mahusiano yanaishia hapo hapo
Hili nalo neno....Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Vitoe vitabu vya dini halafu rudi kwenye tamaduni zako za asili utajikuta unarudi palepale,kwamba bikra ni kitu cha thamani kwa mwanaume wa jamii yoyote. Duniani kuna watu wa tamaduni na asili tofauti,hawajawahi kukutana kusema waliweka kikao cha kukubaliana kuhusu thamani ya mwanake mwenye bikra, ila still jamii zote duniani bikra wanaipa thamani.
Bikra ni kielelezo cha uwajibikaji wa mwanamke katika kujitunza na kwa mwanaume kwake ni kitu cha thamani mno haijalishi kama anaamini kwenye dini au laah. Halafu kama hujui hamna dhambi mbaya kama kutokuwajibika, ukishindwa kuwajibika kuna vitu vibaya utaviona vya kawaida sana, mfano kubadilisha mabwana, kutoa mimba nk hivi vishakuwa vya kawaida. Bikra ni mali yako na ipo chini ya maamuzi yako, husiipoteze kwa tamaa zako, itunze kwa ajili ya mme wako wa ndoa.
Ila tukubali kiujumla jamii nzima tumefeli kwenye swala uwajibikaji na malezi,ndio maana siku hizi umalaya kawaida, kubadilisha mabwana kawaida, kutoa mimba kawaida, single parenting kawaida, kubambikizana watoto kawaida, watoto wa mitaani kawaida na tunapo elekea hata upunga utakuwa kawaida nk ukitizama kwa jicho la hekima utajua tu hayo yote ni matunda ya zinaa,yatokanayo na kutokuwajibika.Kutokuwajibika kwenye kitu fulani, kusifanye hiko kitu kuwa halali.
Ila yote kwa yote kila mtu ana preferences zake,wanawake kwenu mbele ya macho yenu mwanaume mwenye fedha ni wathamani, nyie tabia kwenu sio kipaumbele. Ila kwa wanaume bikra/purity ni ya thamani ipo hivyo na itabaki kuwa hivyo,so kila mtu ashike lake.
Wanaume wengi wanajali zaidi kwa mwanamke mutual connection, shared interest na physical attraction na sio bikira; sisemi bikira haina thamani ila peke yake haitoshi. Na kama haitoshi haiwezi kuwa priority!Vitoe vitabu vya dini halafu rudi kwenye tamaduni zako za asili utajikuta unarudi palepale,kwamba bikra ni kitu cha thamani kwa mwanaume wa jamii yoyote. Duniani kuna watu wa tamaduni na asili tofauti,hawajawahi kukutana kusema waliweka kikao cha kukubaliana kuhusu thamani ya mwanake mwenye bikra, ila still jamii zote duniani bikra wanaipa
Nikasirike kwa lipi sasa??!wewe kweli choko! Subiri mwanao ang"olewe yake.. yamekuingia huwezi kuifungia bikira ya mwanao kabatini..umebaki kuhangaika...nina wewe mpk nikuue kenge we!"Unajua nilikupeendaa saidiiii ila ya Dunia wee yalikuzidi, nilitamaani kuwa nawe saidiii" 🎵🎵
Apo Side kashaoa mtoto mwenye maadili kaachana na chakubimbi, Anita full makasiriko 🤣
View attachment 3637930
Unadhani ndoa yako ina mafanikio kwa sababu ulioa bikra? Kama unadhani hivyo, jitafakari tena.Kiukweli bikra ni ngumu sana siku hizi kuzipata, ubahatike sana. Kulingana na utandawazi, watu siku hizi huanza mambo ya kikubwa mapema sana. Darasa la sita tuu unakuta tutoto tunacheza michezo ya kikubwa.
Kuhusu kuwa overated; sio kweli, bikra ina maana sana. Mimi ni shuhuda, nimeoa bikra.
Unamwaga moto mwingi snHauwezi kuwa na chemistry na mwanamke ambaye sio bikira (malaya)
Sababu ni hizi:
- Hana sexual discipline ndio maana haukumkuta bikira, alijirahisisha wakamtomba au kumfira na kumtoa bikira zote mbili
Unapoamua kuoa mwanamke asiye bikira ujue unajiweka kwenye position ya kucompete na wanaume tofauti:
- Kuna yule aliyemtoa bikira
- Exes wake waliompea good sex
- Na wale waliomtomba one night stands
Siku moja lazima akucheat na mmoja kati ya hao na kukufanya ulee bao la mwanaume mwingine
Hiyo chemistry unaitolea wapi kmmmk?
Ikiwa kuoa bikira does not guarantee she'll make her a good wife 100%
Kwa hiyo asiye bikira ndio unampa asilimia ngapi she'll be a good wife?
Mahari ni kwa ajili ya mwanamke aliyetunza bikira na sio malaya mwenye degree
Ilipohusu mwanae azaliwe na nani Mungu alimchagua bikira Mariamu amzae Yesu hakumchagua malaya asiye na bikira
Hauwezi kuwa na chemistry na mwanamke ambaye sio bikira (malaya)
Sababu ni hizi:
- Hana sexual discipline ndio maana haukumkuta bikira, alijirahisisha wakamtomba au kumfira na kumtoa bikira zote mbili
Unapoamua kuoa mwanamke asiye bikira ujue unajiweka kwenye position ya kucompete na wanaume tofauti:
- Kuna yule aliyemtoa bikira
- Exes wake waliompea good sex
- Na wale waliomtomba one night stands
Siku moja lazima akucheat na mmoja kati ya hao na kukufanya ulee bao la mwanaume mwingine
Hiyo chemistry unaitolea wapi kmmmk?
Ikiwa kuoa bikira does not guarantee she'll make her a good wife 100%
Kwa hiyo asiye bikira ndio unampa asilimia ngapi she'll be a good wife?
Mahari ni kwa ajili ya mwanamke aliyetunza bikira na sio malaya mwenye degree
Ilipohusu mwanae azaliwe na nani Mungu alimchagua bikira Mariamu amzae Yesu hakumchagua malaya asiye na bikira
Naona umeshaurika sahv hutukani tena K kiungo chako ulichokitepetesha kwa kusambaza upendo, we niue tuNikasirike kwa lipi sasa??!wewe kweli choko! Subiri mwanao ang"olewe yake.. yamekuingia huwezi kuifungia bikira ya mwanao kabatini..umebaki kuhangaika...nina wewe mpk nikuue kenge we!
Bikra haijawahi kupoteza thamani mbele ya mwanaume yoyote yule haijalishi yupo pande gani? Mwanaume akikosa bikra ataangalia Low body counts na ipo hivyo kwenye jamii zote duniani.Wanaume wengi wanajali zaidi kwa mwanamke mutual connection, shared interest na physical attraction na sio bikira; sisemi bikira haina thamani ila peke yake haitoshi. Na kama haitoshi haiwezi kuwa priority!
Wanaume wengi wana sex before marriage, hawasex na mizimu bali na wanawake, wengi wakikutana na bikira wanazing"oa hawasemi huyu ngoja nimuoe...huoni kama hapo Wanaume wamechukulia bikira of less value?..namaanisha ni Wanaume wameishusha thamani bikira cha kushangaa ni nyinyi nyinyi Wanaume mnataka kuipandisha tena thamani.....
Mwisho usiseme uwajibikaji umebadilika, hukuwepo zamani ukajua ulikuwaje?!!?
Ku.ma we!Naona umeshaurika sahv hutukani tena K kiungo chako ulichokitepetesha kwa kusambaza upendo, we niue tu
bikra ipi maana siku hizi zipo mbili 🤣Kuna mtu humu aliandika kwamba; "Kila mwanamke amewahi kuwa bikra."
Comment nzuri sana, kama huna "D mbili" hutoelewa.
Mleta mada bikra anayo na anatamba nayo😜
Anita wewe ni kapumbavu!Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko class tofauti, hamuwezi kuwa level moja mkadiscuss maendeleo...more likely kwanza umemzidi elimu..
Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
Tatu sio kweli kuwa na bikira ndio mtu atabaki kuwa na uke mdogo(mnato)daima , hayo ni maumbile tu ya mwanamke, wanawake wanatofautiana ..huyo mkeo ambae ulimkuta bikira anaweza kuzaa na uke wake ukabaki mkubwa.(sio wote). Wide notion kuwa ukifanya sex mara nyingi uke unalegea ni myth, ni maumbile tu ya wanawake na tunatofautiana..
Mwisho nilishawahi kuuliza swali humu tangia muanze kuhubiri bikira nani kakutana nayo??? Out of millions of men wanaotumia JF pamoja na wale wanaume wenye fake ID 🤣🤣😆 ni wachache sana walikuwa na guts za kusema wamekutana nazo..majority ni hola, so bikira is overated here in JF...bebeni mangurumbembe yenu maisha yasonge...stop looking for a needle in haystack...
Wasalaam
Anita
Mimi huyoooooooo byeee
Kama weweAnita wewe ni kapumbavu!