Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,026
- 45,380
Anaefata bikra bush ni kiazi mbatata.
Hana bikra wenye bikra wana haiba ya kike na aibu fulani hivi, kuwakuta wanaropoka ni ngumu snaKuna mtu humu aliandika kwamba; "Kila mwanamke amewahi kuwa bikra."
Comment nzuri sana, kama huna "D mbili" hutoelewa.
Mleta mada bikra anayo na anatamba nayo😜
Siku nyingine kuwa objective mpuuzi weye..hujaona wanaume wakishusha points huko juu,,, of all the time you stayed in jf this is your reasoning?!Sijajua, bali nimekuuliza je, limeku iritate?
That deduction will assist more understanding of this topic.
At what age did you lose your virginity?
Wanawake wote walikuwa na bikira at some point..je wote wana haiba ya kike?!1Hana bikra wenye bikra wana haiba ya kike na aibu fulani hivi, kuwakuta wanaropoka ni ngumu sna
Kama wewe unavyowapaga humu kaka na dada zako..Bikira muhimu. Hayo maelezo yako kawape kaka na wadogo zako.
Vipaumbele vyetu wanapata sukari , ila vyakwao, aaaaaahKama ambavyo mnaona fahali kuwa na mwanaume mwenye pesa mali na kila kitu
Vivyo hivyo mwanaume mwenye pesa akiwiwa kuwa na mwanamke bikra ni sawa..
Wala isionekane overated , maan hata sisi kwa hoja zako tutakuona overrated
Haujamalizia , "hauwezi kuwakuta wanaropoka hovyo"Wanawake wote walikuwa na bikira at some point..je wote wana haiba ya kike?!1
Hauna akiliKama wewe unavyowapaga humu kaka na dada zako..
Jibu la mtu mwenye iq kubwa🤣🤣Haujamalizia , "hauwezi kuwakuta wanaropoka hovyo"
Kama weweHauna akili
SidhaniJibu la mtu mwenye iq kubwa🤣🤣
Wahi milembe. Nitalipa pesa ya matibabuKama wewe
Mpeleke mamako kwanzaWahi milembe. Nitalipa pesa ya matibabu
Huwa unakwenda kwa mnganga yupi katika harakati zako?Mimi sijawahi tafuta bikra, huwa nazikuta kwenye safari bila kuzitarajia. Kama hiyo ya mwaka jana jijini Dar, alienda chuo kutoka mkoani amekaa chuo 2 years mjini na hakai hostel ila bado anayo. Na niliamua kuiacha sababu alikuwa ananiganda mume mume wakati sina uhakika na hilo.
Bwashee hii ni ID takatifu aisee! Kabla sijaingia nayo humu basi najinyunyizia maji ya baraka.Mwaga moto kama dragon bwashee
Ndiyo mkuuAisee, binti umeolewa?
Ubaya wa kuoa dem asie na bikra, unakua hujui idadi ya wahuni walio mkojolea halafu ndio anakua mkeo.Second bikira inatolewa siku moja, sio kwamba itaota kila siku, inatoka siku moja then una realise umebeba mtu mzigo huna chemistry nae, sio rafiki yako..hamna chemistry baada ya hapo ..mtuambie nyie mliioa vijijini is it worth kukaa na mzigo kama huu kisa tu bikira ya siku moja?!
nitumie account yako ya NMB nikuwekee zawadWanaume wana mambo mengi kichwani,kuwaletea mada hii ni kuwachokoza mpenzi
Japo kuoa bikra ni muhimu sana,binti asipokengeuka na vijana wa mjini anakuwa hajui kitu kuhusu sex nje ya mumewe hivyo kumweshimu mume inakuwa ni 99%
Vipi je, anayeoa USED a.k.a MTUMBA?Anaefata bikra bush ni kiazi mbatata.