THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 762
- 949
Kwa mdada yeyote aliyejitunza mpaka kufikia umri Wa miaka 23- 26 nampa zawadi ya ndoa bila kujali mrefu, mwembamba, mweupe, mweusi hata kabila haijalishi.
Awe mjasiriamali au kama ana elimu awe na degree na awe ameajiriwa au kujiajiri. Mimi ni kijana mchacharikaji Wa ukweli hutajutia kuja kwangu.
Kazi kwenu atakaewahi wa kwanza huyohuyo.
Awe mjasiriamali au kama ana elimu awe na degree na awe ameajiriwa au kujiajiri. Mimi ni kijana mchacharikaji Wa ukweli hutajutia kuja kwangu.
Kazi kwenu atakaewahi wa kwanza huyohuyo.