Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,724
- Mkuu hebu fafanua hapo kidogo, eti Lusinde ni watu wa Congo? Kwa vipi yaani?
Respect.
FMEs!
Mgobea ubunge wa Biharamulo kupitia CCM, Bwana Mukassa, ni kweli si Mtanzania. Sisi tunamfahamu vizuri na kuifahamu familia yake.Pia Ikulu ina ukweli huu kwamba si Mtanzania, ila wanazimisha kwa vile yeye ni wa CCM.
QUOTE]
MUTEKANGA,
Akipita hakuna haja ya kupigana.
Kwani OBAMA alizaliwa wapi?
Mahali pa kuzaliwa si tatizo nadhani.
Mgobea ubunge wa Biharamulo kupitia CCM, Bwana Mukassa, ni kweli si Mtanzania. Sisi tunamfahamu vizuri na kuifahamu familia yake.Pia Ikulu ina ukweli huu kwamba si Mtanzania, ila wanazimisha kwa vile yeye ni wa CCM.
Akipita, tutapigana usiku na mchana kuwatetea wale wote wa Karagwe, Ngara, na Bukoba waliokuwa wakisumbuliwa kwamba waoni wahamiaji haramu. CCM, inatupeleka pabaya. Hata ukiwa mwizi, kwa vile uko CCM, mambo yanayooka?
Mkassa, alizaliwa Uganda na wazazi wake wakaahamia Tanzania kwenye miaka ya sabini. Kusema kweli hadi leo hii hawajaomba uraia! Inashangaza sana kwamba CCM, ina uwezo wa kuvunja sheria za nchi.
Mwenye uwezo wa kusambaza habari hizi afanye hivyo. Wambieni watu wa Biharamulo, kwamba Mukassa, si raia! Na kwamba CCM inavunja sheria na katiba ya nchi yetu. Hivi Katiba, inamruhusu mtu asiyekuwa raia kugombea Ubunge?
MUTEKANGA,
Akipita hakuna haja ya kupigana.
Kwani OBAMA alizaliwa wapi?
Mahali pa kuzaliwa si tatizo nadhani.
Mgobea ubunge wa Biharamulo kupitia CCM, Bwana Mukassa, ni kweli si Mtanzania. Sisi tunamfahamu vizuri na kuifahamu familia yake.Pia Ikulu ina ukweli huu kwamba si Mtanzania, ila wanazimisha kwa vile yeye ni wa CCM.
QUOTE]
MUTEKANGA,
Akipita hakuna haja ya kupigana.
Kwani OBAMA alizaliwa wapi?
Mahali pa kuzaliwa si tatizo nadhani.
Mkuu kwani sheria za uraia wa Marekani na Tanzania ni sawa? Kwanza hapa umechemsha katika tafsiri kwa sababu Obama kazaliwa Marekani na mmoja wa wazazi wake alikuwa Mmarekani sasa una linganisha nini haswa?
CHADEMA MATATANI BIHARAMULO
Naye Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema alidai kuwa fitina hiyo ya Chadema ni dalili za kutojiamini kwao katika uchaguzi huo baada ya kushindwa katika uchaguzi wa Busanda uliofanyika hivi karibuni na CCM kupata ushindi. Alisema Chadema sasa kimejaa ubinafsi na ubabaishaji ndio maana ilifikia hatua ya kutangaza chama chake cha TLP kutosimamisha mgombea wakati si kweli.
Nataka niwaambie wananchi wa Biharamulo na Watanzania wote kwamba Chadema ni chama kilichojaa ubinafsi na ubabaishaji wa hali ya juu kwani kinataka kujifanya kiranja wa vyama vingine vya upinzani wakati kinajua wazi kimepoteza mwelekeo, alisema Mrema. Alisema kwa mwenendo unaoonekana sasa, Chadema haina uwezo wa kushindana na CCM na kunyakua majimbo, lakini imeendelea kuvishawishi vyama vingine vijitoe wakati havina uwezo na baada ya kushindwa ni ushahidi tosha. (tamati).
Sasa huyu mzee jamani? kwahiyo yeye anafanya nini huko kama anajua kabisa nani mshindi? mbona asiseme chama chake ndo kitashinda? kwahiyo yeye furaha yake ni Chadema kushindwa? yaani rupia mbaya sana.
Taarifa tulizo nazo ni kwamba
Mhe. Yusuphuh Makamba na Pius Msekwa wameondoka Biharamulo kimya kimya. Vyanzo vyetu havijapata sababu haswa za kuondoka kwa wakuu hao wa CCM katika kipindi hiki kigumu cha kampeni.
Tulipokea pia taarifa za uhakika kuwa yule gwiji wa siasa za vichekesho Mhe Agustino Lyatonga Mrema ameanguka bafuni kutokana na msongo mkubwa na uchovu siku ya Jumamosi. Kwa sasa anaendelea vizuri kiafya. Kampeni za Mrema hapa Bihyaramulo ni kwamba "Ichagueni TLP: kama hamtaki basi chagueni CCM".
Anasisitiza kuwa CHADEMA ni adui wa demokrasia.
Haya ndiyo machache niliyo nayo mapya kutoka hapa Biharamulo.
Taarifa tulizo nazo ni kwamba
Mhe. Yusuphuh Makamba na Pius Msekwa wameondoka Biharamulo kimya kimya. Vyanzo vyetu havijapata sababu haswa za kuondoka kwa wakuu hao wa CCM katika kipindi hiki kigumu cha kampeni.
Tulipokea pia taarifa za uhakika kuwa yule gwiji wa siasa za vichekesho Mhe Agustino Lyatonga Mrema ameanguka bafuni kutokana na msongo mkubwa na uchovu siku ya Jumamosi. Kwa sasa anaendelea vizuri kiafya. Kampeni za Mrema hapa Bihyaramulo ni kwamba "Ichagueni TLP: kama hamtaki basi chagueni CCM".
Anasisitiza kuwa CHADEMA ni adui wa demokrasia.
Haya ndiyo machache niliyo nayo mapya kutoka hapa Biharamulo.
Mrema: (Akizinduka baada ya kuanguka bafuni) Ichagueni TLP: kama hamtaki basi chagueni CCM
Mkuu, yuko njiani. Uchaguzi Mkuu ujao atagomba ubunge kupitia CCMSi arudi tu CCM?