MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
naona hi habari haijakamilika , Jana Maalim Seif alikuwa anaongea kwenye kituo radio Clouds kwenye habari ya saa 12 jioni anasema wao wanaiunga mkono TLP kwa sababu ndo ilikuwa na mgombea huko wameona waiachie, na si kweli kwamba wanaiunga mkono Chadema.
Ndiyo maana baada ya kuiona Nipashe nikaamua kuileta hapa kuu kwa sababu haku kosekani mtu anaye jua a little bet about something, na pia tuki put two and two togehter tuna weza kupata ukweli. Ngoja tuone post zingine zita semaje.