Bigie atakuwa mapumzikoni DA, thanks for checking on him.Bigirita BANNED.
Pole sana umefanya nini tena au ndo mambo ya sokwe ya wasira???
Hopewill be bck soon.
DA
Karibu Korogwe. Korogwe raha sana, hakuna Siasa wala mbuga za wanyama.Mambo ya kawaida ya JF hayo.
Nawaomba msamaha wana JF always nilikuwa nikidhania Bigirita ni msichana kumbe sivyo.Bigirita BANNED.
Pole sana umefanya nini tena au ndo mambo ya sokwe ya wasira???
Hopewill be bck soon.
DA
Kumbe alikwambia wewe pia anapumzika,,,,,,lols, nilifikiri amenambia mm tu!JF bana!!!Mwache apate muda wa kupumzika kidogo!!!
oooh!!! she is not?Nawaomba msamaha wana JF always nilikuwa nikidhania Bigirita ni msichana kumbe sivyo.
Mpeni pole mkimwona mtaani.
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa ahaaaa:lol::lol::lol::lol: nimekupata sound and clear tuko pamoja.Karibu Korogwe. Korogwe raha sana, hakuna Siasa wala mbuga za wanyama.
Nasikia Dar kuna simba huko mbagala, sokwe huko mikocheni na nyani na tumbili huko changanyikeni.
watu hadi waanzishe thread eti kwa nini flani hajapigwa Ban, mbona dlani mmempiga ban kwa kusema kama alivyosema huyu! sijui Quinine ni Ba**a ake!Unajua JF kuna tatizo limeingia la kuwatafutia watu BAN kwa makusudi na hilo limeishajitokeza mara 3 na sasa naona limetokea kwa Bigirita yaani mtu anaacha kuchangia mada yeye kazi yake moja tu kufuatilia mtu fulani hadi apewe BAN kuna watu humu ndani they are MORON'S
he will come back either way mkuu.Bigirita, BAN iwe fupi, will mic u Broda!
Unajua JF kuna tatizo limeingia la kuwatafutia watu BAN kwa makusudi na hilo limeishajitokeza mara 3 na sasa naona limetokea kwa Bigirita yaani mtu anaacha kuchangia mada yeye kazi yake moja tu kufuatilia mtu fulani hadi apewe BAN kuna watu humu ndani they are MORON'S
Halafu cha kushangaza MODS nao wanajiingiza kwenye mjadala kheeee kheeee lolwatu hadi waanzishe thread eti kwa nini flani hajapigwa Ban, mbona dlani mmempiga ban kwa kusema kama alivyosema huyu! sijui Quinine ni Ba**a ake!
Unajua JF kuna tatizo limeingia la kuwatafutia watu BAN kwa makusudi na hilo limeishajitokeza mara 3 na sasa naona limetokea kwa Bigirita yaani mtu anaacha kuchangia mada yeye kazi yake moja tu kufuatilia mtu fulani hadi apewe BAN kuna watu humu ndani they are MORON'S
He will dear, atarudi na Tshirt ya JF kabisaHii tabia inanikera kupita maelezo.
Haya bana kila la heri wapendwa .
Jioni njema hope Big utarudi mapema