=*=*=....BIG UP Faiza Foxy....=*=*=




Sikonge post yako imenichekesha mno... bana Asante kwa kuniunga mkono kumtakia kheri dada.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nampongeza huyo mwanaume,kwani anaonyesha ni mvumilivu kama mimi.
Na mimi nina mwanamke mtata kama ff.
By the way nawapongeza wote,mimi nina 9.bado 21 nikukamate ff.
 
Hapo umeniacha kwenye kona. Ukihesabia na yeye vipi?


Yaani kama i was married mara ya kwanza maybe two years...

Alafu saizi maybe nina four years of marriage... naweza jumlisha?? lol

Ili tu nipate ile zawadi, na 30th ann ifike haraka....
 
Mimi nampongeza huyo mwanaume,kwani anaonyesha ni mvumilivu kama mimi.
Na mimi nina mwanamke mtata kama ff.
By the way nawapongeza wote,mimi nina 9.bado 21 nikukamate ff.


Naona bado safari ndefu kaka.... but mpaka umefika 9 na ni mtata

it seems ni perfect fit kwako.... BRAVO.
 
Hongera kwa kujipongeza mwenyewe, hivi ndio vituko vinavyonifanya niipende JF.
 
asha unamfuatilia xana wow! Wow! Hii inamaana wewe na yeye ndo yule yule ambae walikua wanasema ni mtu mmoja??


Zile allegations kwamba sie ni mtu mmoja imetufanya tuwe karibu...
tunawashukuru wana JF kwa kweli kutukutanisha... Siwezi ogopa kumpongeza
ukweli ulo wazi sababu tu watu wenye uvivu wa kufikiri watajua ni mtu mmoja na kwamba najipongeza....
 
Big up FF, ndio kwanza nina umri wa miaka 22, sijafikiria hata kuoa, lakini punguza ukauzu.. unasomeka vibaya


King J... Unaoneje siku hizi?? Naona imekua nafuu - au sababu siji jukwaa la Siasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…