Mwambawetu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,385
- 34,369
Ile shoo ya kipimbi sana , says mtu aliyefeli maisha NumbisaNdyo niliwatch, na ni kweli ile show niliikubali, nisiwe mnafiki hapa.
Ile shoo ya kipimbi sana , says mtu aliyefeli maisha NumbisaNdyo niliwatch, na ni kweli ile show niliikubali, nisiwe mnafiki hapa.
Unajishushia mionziUmeona ee?una sebule nzuri sanaView attachment 1480444
😎😎😎😎 Kwa nn mkuuHii comment na mtu uliemquote vimenifanya ni smile ☺
Ooops hakuna kipya dunian ee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii comment na mtu uliemquote vimenifanya ni smile ☺
Anaitwa aaliyaahKuna mtangazi wa kipindi cha Refreeeesh, nampenda sana yule binti anasauti fulani hizi ya amazing sana.
Hii comment na mtu uliemquote vimenifanya ni smile ☺
Instagram anatumia jina "thisisaaliyaah" mdm mzeeNipe connection yake mkuu😕😕😕
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ni sawa na mbuzi kufia kwa muuza supu ee
Wamebuni wapi wameiga kila kitu kutoka clouds alafu mnajifanya kama hamjui vile yani nyie watu ni kibokoWamejitahidi sana,,,wako vizuri saaaaaaana,,stage, wasanii wa hip pop wananata na beat balaa..Bila kumsahau content creater DIAMOND PLATNUMZ yuko vizuri kwenye kubuni vipindi,nadhani ndo kipaji chake kingine hicho..OMG,CHID BENZ ,LINNAH, YOUNG LUNYA plus comedian wamefanya balaaa




weee fala njoo pmInstagram anatumia jina "thisisaaliyaah" mdm mzee
Mzee mbona Kama unahasira wameiga Nini?Wamebuni wapi wameiga kila kitu kutoka clouds alafu mnajifanya kama hamjui vile yani nyie watu ni kiboko![]()
Aliaya ni yupo vizuri sana namuelewa mno pale wamepata mtangazaji.Kuna mtangazi wa kipindi cha Refreeeesh, nampenda sana yule binti anasauti fulani hizi ya amazing sana.