Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,069
- 1,439
Du hii ilinipitaEloswag alimwambia ampe muda...
Yaani kilikua kibuti cha kistaarabu hahaah
Du hii ilinipitaEloswag alimwambia ampe muda...
Yaani kilikua kibuti cha kistaarabu hahaah
Upepo ulimkataa maana ni Beauty with ni brains 😂Alikuwa anamtaka sheggz matawi ya juu. Kwenye sat paty ya mwanzo alikuwa akijipeleka kwa sheggz. Ila naona sheggz aliona atachanganya madawa cause survival yake kimkakati ipo kwa bella. Hii vile vile ni sababu nyingine ya kuchanganyikiwa kwq beauty
Alomwambia ampe wiki moja...so leo phyna ataenda uliza jibuDu hii ilinipita
Ananikumbusha nadhani Erika kwenye disqualifination bbn 2020. Nae beautiful no brainUpepo ulimkataa maana ni Beauty with ni brains 😂
Kumbe Eloswag ndio aliomba muda nilifikir vise vesaAlomwambia ampe wiki moja...so leo phyna ataenda uliza jibu
Sheggz na Bella watakuwa kama Erica na Kiddwaya.Ananikumbusha nadhani Erika kwenye disqualifination bbn 2020. Nae beautiful no brain
Erica huwezi kumfananisha na Beauty kabisa, Beauty hawezi kuvumilia hata robo ya aliyofanyiwa Erica, mpaka anafanya fujo ule usiku alikuwa ameshachoka na aliona faraja pekee ataipata nyumbani maana mule ndani watu wote walikuwa against na yeye kasoro KiddiwayaAnanikumbusha nadhani Erika kwenye disqualifination bbn 2020. Nae beautiful no brain
Hamna hata mmoja yuko na mwenzieHivi kiddwaya alimuoa Erika kweli? Na Ozo je aliishia wapi na Nengi? Burnaboy
Si nilisikiaga Kidwayya mzee wake ana mtonyo mrefu sana na anawafanyia harusi kubwa sana hao housemates?Hamna hata mmoja yuko na mwenzie
Hahahah
Kuna kipindi nilikuwa nalipia kile cha elfu 19 nilikuwa naona channel namba 198. Saivi nalipia 51 naona na chennel nimber 199 maana kuna level mbili zina air kwa muda mmoja so una tune kuangalia level unayotaka. Sijajua kama kile cha 19 kama kinaonyesha level zote mbili au ni moja tu.Kifurushi Gani DStv naweza icheki
Kweli bana Beauty ni kilaza aseeErica huwezi kumfananisha na Beauty kabisa, Beauty hawezi kuvumilia hata robo ya aliyofanyiwa Erica, mpaka anafanya fujo ule usiku alikuwa ameshachoka na aliona faraja pekee ataipata nyumbani maana mule ndani watu wote walikuwa against na yeye kasoro Kiddiwaya
Kwa maumbo na swag ndio wanafana. Mercy Eke, Nengi na Chichi.Sheggz na Bella watakuwa kama Erica na Kiddwaya.
Ila Nengi alikuwa pisi kali namfananisha na Chichi saivi.
Hakumuoa ile ilikuwa ship ya kimkakati kama hii ya bella na sheggzHamna hata mmoja yuko na mwenzie
Hahahah
Wana tatizo moja ila beauty kazidishaErica huwezi kumfananisha na Beauty kabisa, Beauty hawezi kuvumilia hata robo ya aliyofanyiwa Erica, mpaka anafanya fujo ule usiku alikuwa ameshachoka na aliona faraja pekee ataipata nyumbani maana mule ndani watu wote walikuwa against na yeye kasoro Kiddiwaya
Ila chichi yupo very creative ile task ya jana nguo aliyoshona ilikuwa kali sana.Kwa maumbo na swag ndio wanafana. Mercy Eke, Nengi na Chichi.
Ila Chichi naona sio clever kama hao wenzake kuweza kwenda mbali.
Naona chichi hivi karibuni hupo close na fake bm Deji
Pyna nae anakula asaliWana tatizo moja ila beauty kazidisha
Hii task sikufuatilia. Task za kushona na kupikapika huwa sizipendi.Ila chichi yupo very creative ile task ya jana nguo aliyoshona ilikuwa kali sana.