Big Brother Naija Season 7

Big Brother Naija Season 7

Kipaji Bryann alijiharibia CV kutaka kuanzisha ship kwa pupa. Baada ya kutemwa na Daniella, kitendo cha kuonekana kutemwa tena na Alebaye kimeharibu zaidi CV ys Bryann. Ningependa Alebaye asepe ili Bryann apate space ya kupumua. Ningependa ship ya Byann na Modella yule fake housemate

 
Kipaji Brynn alijiharibia CV kutaka kuanzisha ship kwa pupa. Baada ya kutemwa na Daniella, kitendo cha kuonekana kutemwa tena na Alebaye kimeharibu zaidi CV ys Bryann. Ningependa Alebaye asepe ili Bryann apate space ya kupumua. Ningependa ship ya Byann na Modella yule fake housemate

View attachment 2322658
Ilebaye atabaki mpaka dakika za mwisho mkuu. Na kama level one wakishinda HOH week hii inawezekana akina Bryan, Phyna na Amaka wakawa nominated na kuwa evicted.

Maana wao huwa wanaangalia wath wenye potential ndio wana nominate na kuwatoa ili ushindani upungue.

Ila all in all mshindi wa hii season ni Phyna na atakuwa nominated kila week ila hatatoka mpaka mwisho.
 
Ilebaye atabaki mpaka dakika za mwisho mkuu. Na kama level one wakishinda HOH week hii inawezekana akina Bryan, Phyna na Amaka wakawa nominated na kuwa evicted.

Maana wao huwa wanaangalia wath wenye potential ndio wana nominate na kuwatoa ili ushindani upungue.

Ila all in all mshindi wa hii season ni Phyna na atakuwa nominated kila week ila hatatoka mpaka mwisho.
Phyna ana fan base kubwa nje?
 
Nahisi kama Bella ana fan base kubwa ingawa simpendi
 
Phyna ana fan base kubwa nje?
Phyna anapata kura nyingi sana mkuu na anakuwa nominated kila week ila huyo ni kwere hawezi toka. Ukisoma comments za fans twitter na kwingineko utagundua huyo manzi ana mashabiki kinoma
 
Ilebaye atabaki mpaka dakika za mwisho mkuu. Na kama level one wakishinda HOH week hii inawezekana akina Bryan, Phyna na Amaka wakawa nominated na kuwa evicted.

Maana wao huwa wanaangalia wath wenye potential ndio wana nominate na kuwatoa ili ushindani upungue.

Ila all in all mshindi wa hii season ni Phyna na atakuwa nominated kila week ila hatatoka mpaka mwisho.
Kina phyna wasiposhinda Hoh week hii itakua balaaa.
Watatolewa wengi sana

Au nahisi big anaweza badilisha game...
..
Dah napata muda mchache sana kuwatch ila nachek kupitia twita...
Brayan kaanzisha ship na modella??
 
Phyna anapata kura nyingi sana mkuu na anakuwa nominated kila week ila huyo ni kwere hawezi toka. Ukisoma comments za fans twitter na kwingineko utagundua huyo manzi ana mashabiki kinoma
Advantage ya kuwa nominated mapema..
Unajitengenezea mashabiki wengi mapema.
 
Dah yaani...ila mapenzi pia..alimpenda groovy..
Wamenikumbusha ceec na tobby
Beauty hakuwa na malengo inaonekana wazi kabisa. Yani aliingia kutafuta mapeni na umaarufu wa kijinga. Yeye kila siku kugombana tu. Sasa eti anagombana kisa hataki bwana ake aoshe vyombo?
 
Kuna sk Chomzy alimwita Zombie. Ni kama hamnazo ila entertaining
Ijumaa hii nataka nione groovy na chomzy kama watakiwasha
Hivi tangu beauty atoke groovy hajamake a movie kwa msichana yoyote?
Nahisi anahofia mashabiki wa beuty hawatampigia kura..
By the way umeona hashtag ya bring back beauty?
 
Back
Top Bottom