Big Brother Naija Season 7

Big Brother Naija Season 7

Beauty hakuwa na malengo inaonekana wazi kabisa. Yani aliingia kutafuta mapeni na umaarufu wa kijinga. Yeye kila siku kugombana tu. Sasa eti anagombana kisa hataki bwana ake aoshe vyombo?
Ana kichwa chepesi ...pombe haiwezi..
Na alitaka grovy awe mshika mkoba wake
 
Kina phyna wasiposhinda Hoh week hii itakua balaaa.
Watatolewa wengi sana

Au nahisi big anaweza badilisha game...
..
Dah napata muda mchache sana kuwatch ila nachek kupitia twita...
Brayan kaanzisha ship na modella??
Wanaweza shinda. Maana wako creative sana. Ila wakishindwa itakuwa pigo kwao maana watapungua tena. Ila Phyna kutoka ni ngumu. Mpaka sasa ndio mtu naeona anaenda kushinda.
 
Beauty hakuwa na malengo inaonekana wazi kabisa. Yani aliingia kutafuta mapeni na umaarufu wa kijinga. Yeye kila siku kugombana tu. Sasa eti anagombana kisa hataki bwana ake aoshe vyombo?
Ana serious emotional issues kwa kuwa ex miss nigeria. Hakuendana kabisa na Groovy. So kitendo na Groovy kum beep chomzy ni kama kuonesha chomzy ni better than beauty!! Hii ndio iliamsha maruani yote ya beauty
 
Phyna anapata kura nyingi sana mkuu na anakuwa nominated kila week ila huyo ni kwere hawezi toka. Ukisoma comments za fans twitter na kwingineko utagundua huyo manzi ana mashabiki kinoma
Yeah Phyna ana mashabiki wengi sana.
 
Ana serious emotional issues kwa kuwa ex miss nigeria. Hakuendana kabisa na Groovy. So kitendo na Groovy kum beep chomzy ni kama kuonesha chomzy ni better than beauty!! Hii ndio iliamsha maruani yote ya beauty
Sure. Yule nahisi hakuwa na malengo maana kama angekuwa na malengo angekuwa mpole tu
 
Ijumaa hii nataka nione groovy na chomzy kama watakiwasha
Hivi tangu beauty atoke groovy hajamake a movie kwa msichana yoyote?
Nahisi anahofia mashabiki wa beuty hawatampigia kura..
By the way umeona hashtag ya bring back beauty?
Amaka ni kama vile anataka kufanya move ya kimkakati kwa groovy. Tuone kwenye party itakuwaje shomzy nae akiwepo
 
Bella ana fanbase kubwa...
Ila nataka akutane na phyna.
Kwenye kura
Sheggz atamwangusha huyo manzi. Wana attitude sana hao yani wanaringa na kila mahali wapo wote kama kumbikumbi. Uziri wa Phyna ni mtu wakujichanganya hana makuu na ana amsha amsha mbaya hata level 1 wote wanamuogopa.
 
Nahisi kama Bella ana fan base kubwa ingawa simpendi
Bella ana fanbase kubwa...
Ila nataka akutane na phyna.
Kwenye
Ana serious emotional issues kwa kuwa ex miss nigeria. Hakuendana kabisa na Groovy. So kitendo na Groovy kum beep chomzy ni kama kuonesha chomzy ni better than beauty!! Hii ndio iliamsha maruani yote ya beauty
Ila yule dada ana tatizo..
Ni wale watu wasiojua kuwalk away...
Ni wale watu wanao prefer violence zaidi kwenye kitatua tatizo..
Na pia kama ulivyosema alishajijua ni mzuri kuliko yoyote hakuamini groovy anaweza mpenda mtu mwingine pale.
Kanipa funzo aiisee

Always ...tumia akili,utulivu kwenye kutatua matatizo.
Amepoteza such a good chance kwa maisha yake
 
Amaka ni kama vile anataka kufanya move ya kimkakati kwa groovy. Tuone kwenye party itakuwaje shomzy nae akiwepo
Usimwamini Amaka maana yule ni kama ana fake ships sana ila haitokei. Amaka haeleweki. Jana alikuwa anampiga biti Ilebaye kuhusu Groovy ila ile ya kiutani utani
 
Sheggz atamwangusha huyo manzi. Wana attitude sana hao yani wanaringa na kila mahali wapo wote kama kumbikumbi. Uziri wa Phyna ni mtu wakujichanganya hana makuu na ana amsha amsha mbaya hata level 1 wote wanamuogopa.
Yaa bella angekua hana ship angeshine zaid
 
Sure. Yule nahisi hakuwa na malengo maana kama angekuwa na malengo angekuwa mpole tu
Alikuwa anamtaka sheggz matawi ya juu. Kwenye sat paty ya mwanzo alikuwa akijipeleka kwa sheggz. Ila naona sheggz aliona atachanganya madawa cause survival yake kimkakati ipo kwa bella. Hii vile vile ni sababu nyingine ya kuchanganyikiwa kwq beauty
 
Wakishua bhaaana, kwa iyo mpo serious na mmelipia kabisa kuangalia wenzenu wakidinyana, mwanaume kabisa
 
Wakishua bhaaana, kwa iyo mpo serious na mmelipia kabisa kuangalia wenzenu wakidinyana, mwanaume kabisa
Unejuaje wanandinyana...na wewe huwa unaangalia sio?

Hadi unaufungua huu uzi...uko interested
 
Bella ana fanbase kubwa...
Ila nataka akutane na phyna.
Kwenye

Ila yule dada ana tatizo..
Ni wale watu wasiojua kuwalk away...
Ni wale watu wanao prefer violence zaidi kwenye kitatua tatizo..
Na pia kama ulivyosema alishajijua ni mzuri kuliko yoyote hakuamini groovy anaweza mpenda mtu mwingine pale.
Kanipa funzo aiisee

Always ...tumia akili,utulivu kwenye kutatua matatizo.
Amepoteza such a good chance kwa maisha yake
Hivi phyna bado yupo na distance shipping la eloswag?. Sat nite party ya last week ilinipita
Ila eloswag nae ni hot contender. Kwenye top five hutamkosa
 
Alikuwa anamtaka sheggz matawi ya juu. Kwenye sat paty ya mwanzo alikuwa akijipeleka kwa sheggz. Ila naona sheggz aliona atachanganya madawa cause survival yake kimkakati ipo kwa bella. Hii vile vile ni sababu nyingine ya kuchanganyikiwa kwq beauty
Can you imagine being at such situation soo sad.
Tatizo aliingia na akili ya kuwa na mtu angeacha mambo ya flow naturally
 
Hivi phyna bado yupo na distance shipping la eloswag?. Sat nite party ya last week ilinipita
Ila eloswag nae ni hot contender. Kwenye top five hutamkosa
Eloswag alimwambia ampe muda...
Yaani kilikua kibuti cha kistaarabu hahaah
 
Back
Top Bottom