Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

Big Brother Africa (BBA) 2012 - Updates

dah,mwaka huu almost wote ni mcharuko wakuu,cjui hata itakuwaje...
 
Nchimbi si alisema Serikali haiiungi mkono kwa ajili inaenda kinyume na maadili ya kitanzania baada ya vituko vya Bhoke?. Au TZ inawakilishwa bila ridhaa ya Serikali?.
 
naona kete ya Zimbabwe itakuwa utata, ngoja tuone.
 
Superstars wa BBA 2012 ni DKB (Ghana), Lady May (Namibia) na Prezzo (Kenya)
 
Mnaocheki tupeni updates basi tz nani kaingia
 
dah,mwaka huu almost wote ni mcharuko wakuu,cjui hata itakuwaje...


Ni mbwembwe tu, hakuna kitu hapo. Subiri baada ya wk moja akianza kuonja joto la jiwe ndipo utakapojua wale ambao ni wagumu!!
 
Ni mbwembwe tu, hakuna kitu hapo. Subiri baada ya wk moja akianza kuonja joto la jiwe ndipo utakapojua wale ambao ni wagumu!!

dah,paka hapo sijavutiwa na hata mmoja,ebu ngoja nisubiri wengine...
 
Time for couples! From Angola.....
 
Is the show really productive?
What do the audience gain from this silliness?
 
jamaa muuza sura balaa.wanavutia kwakweli...their nut lovers....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom