mwashalsen
Member
- Sep 14, 2014
- 74
- 35
Wakilingana mwenye ROA Ndo mshindi
Mozambique Trezegar ana campaign kwa Tayo, tuombe mungu wampuuze.
Huyu Mbongo hawezi kushinda kuna sehemu nimepita wanapiga maombi kukemea asishinde na akirudi aumwe kabisa! Wako serious sana wameweka mkesha kabisa! Nimecheka sana
Samantha wa South Africa na ndugu zake wote wanampigia kampeni Idris kwenye Instagram. Luis wa Namibia anampigia kampeni Idris kwenye Instagram. Arthur wa Rwanda anampigia kampeni Idris kwenye Instagram. Chameleon wa Uganda anampigia kampeni Idris kwenye Instagram.
Ova
My prediction tonight..
Idris - Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda
Tayo - Nigeria, Mozambique, ROA
Macky2 - Zambia, Namibia
Namibia nao wanaweza kumpigia Idriss mana Luis na Permisias walikua wana mu campaign
Yap wanaweza ila to be fair nahisi vote ya Namibia biggie atampa Macky2 kwa makusudi tu ili nayeye asiondoke na vote moja pekee
Sidhani aisee ila biggie kuna week mack two alikua atoke akamwacha ila Leo anything can happen kura moja mbona washiriki wengi watapata mana wako nane
Mbona kimya tunasubiri updates kwa sisi tulio porini