Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Uganda wanatupigiaga kura always ila Rwanda wana mambo ya ajabu

This wiki atujapata kura ya uganda,tayo atasumbua sana

Rwanda ni wageni kwenye hii game.. subiri next year wakienda tutawatia akili. Yaani wameacha hata kumpigia Ellah wa Uganda wao wameenda naija.. sasa subiri next BBA wataona kama watapata kura ya EA. Sina shida na Uganda they always have our back
 
Rwanda ni wageni kwenye hii game.. subiri next year wakienda tutawatia akili. Yaani wameacha hata kumpigia Ellah wa Uganda wao wameenda naija.. sasa subiri next BBA wataona kama watapata kura ya EA. Sina shida na Uganda they always have our back

Hamna cha ugeni wowote wana mambo ya revenge kwa Tanzania Ella wamemnyima kura kwa sababu ya ukaribu na Idris wenzao wanapigiana kikanda
 
Diva kuna tayo pale na ndie kikwazo kikubwa central africa wako wengi na wanapeana support ya kufa mtu

Chance ni fifty fifty yake kuwin anaweza pata ya Nigeria na Rwanda Ghana hawezi pata kuna MA Bea kwahyo ana mbili tungekuwa na uhakika wa kura moja Idris angekua mshindi
 
Chance ni fifty fifty yake kuwin anaweza pata ya Nigeria na Rwanda Ghana hawezi pata kuna MA Bea kwahyo ana mbili tungekuwa na uhakika wa kura moja Idris angekua mshindi

Idris anapata ya Kenya, Uganda, Tanzania na Namibia.. Hapa ni kuomba Macky2 achukue vote ya Mozambique ili Tayo abaki na Naija, Rwanda na ROA. Hapa tayari idi anarudi na mshiko home
 
Idris anapata ya Kenya, Uganda, Tanzania na Namibia.. Hapa ni kuomba Macky2 achukue vote ya Mozambique ili Tayo abaki na Naija, Rwanda na ROA. Hapa tayari idi anarudi na mshiko home

Kweli Kenya Uganda Namibia wakimpigia kura ata survive kwenye final rest of Africa hazihesabiki only nchi wa shiriki tu ndo wana consider kura kwahyo pale kila mmoja anakua na rest of Africa hope Mozambique watampigia kati ya Malawi au Zambia
 
Kweli Kenya Uganda Namibia wakimpigia kura ata survive kwenye final rest of Africa hazihesabiki only nchi wa shiriki tu ndo wana consider kura kwahyo pale kila mmoja anakua na rest of Africa hope Mozambique watampigia kati ya Malawi au Zambia

hmmm are you sure na hiyo ROA?? Mbona nakumbuka last year Melvin alipata hiyo
 
hmmm are you sure na hiyo ROA?? Mbona nakumbuka last year Melvin alipata hiyo

Dillish alikua mshindi kwa kupigiwa na nchi tano na rest of Africa the same to Cleo na wengine wote waliobaki
 
Dillish alikua mshindi kwa kupigiwa na nchi tano na rest of Africa the same to Cleo na wengine wote waliobaki

Ndio maana nikasema Tayo anaweza pata ROA cuz wanaija wako wengi mno.. Lakini nahisi ROA na Moz hizo watagawana Tayo na Macky2. Mwaka huu ushindi EA ni lazima coz ni muda mrefu since Richard
 
Ndio maana nikasema Tayo anaweza pata ROA cuz wanaija wako wengi mno.. Lakini nahisi ROA na Moz hizo watagawana Tayo na Macky2. Mwaka huu ushindi EA ni lazima coz ni muda mrefu since Richard

Inapokuja finals ni nchi moja kura moja hata kama wamepiga million hamsini hIjalishi ni moja kwahyo tayo watagawa kura na Mughana EA ni lazima tushinde Rwanda wachange mawazo wastupigie
 
Inapokuja finals ni nchi moja kura moja hata kama wamepiga million hamsini hIjalishi ni moja kwahyo tayo watagawa kura na Mughana EA ni lazima tushinde Rwanda wachange mawazo wastupigie

Rwanda hawawezi kutupigia
 
Rwanda hawawezi kutupigia

Hawa jamaa wana roho ngumu hadi kwa jirani sijawai ona wana hasira na operesheni kimbunga labda hawasahau namuombea Idris ashinde hata wasipotupigia kura
 
Apa kuomba kupata kura ya rwanda tu ili tuwin the botle la sivyo ushindi kuja ni vigumu....
 
Embu nambieni mf;ndani ya rwanda watu 200 wakatupigia kura je 2nakua tumepata kura yao au???nauliza
 
Back
Top Bottom