Hapo ndio kwenye mtihani. Kila mtu ni wake humo mjengoni, sasa hata sijui atamchagua nani amuingize.
Idris kamuongeza butterfly for eviction
Hapo ndio kwenye mtihani. Kila mtu ni wake humo mjengoni, sasa hata sijui atamchagua nani amuingize.
Laveda umeeondoka ukiheshimika.unarudi ukidharaulika mxuuuuu.
Frank alitoa comment sikuipenda... anasema kunawatu wakitoa komenti/neno fulani kama ni la kipuuzi....huwezi kushangaa lakini wengine lazima ushangae. Akamtolea mfano Idris kuwa akitoa neno lakipuuzi huwezi kushangaa...maana muda wote anakaa kijoki joki (mimi niliona kama amemdaharau).jamaa anapendwa balaa
Gayz lets vote for team A pls. East africa wako. wengi pale,tukishindwa na team B bas kwenye eviction itakuwa balaa.
Frank out
kabisa mkuu. hata mimi piaMimi pia mkuu anitoe siwakilishwi huko