Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
True dat,leo asbh uliona jinsi sheila na mr 265 walivyombana kuwa wakat wa michezo yao ilopita alihisi idris alianza kufil smthin kwa sheila hahaaa jamaa akshangaaa mwisho wa siku wakamgeukia sheila kuwa yeye ndio alishaanza kumfil idris alibanwa mpaka akata kukasirika,mr 265 ni m'mbea balaa
Mr 265 ni mbea issue ya Laveda ilikua haijulikani yeye ndo akaisambaza kwa wengine kazidi umbea jpili atoke tu ila am happy kwenye diary sessesion Idris kasema anaachana na Goitse ana move on