Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Uelewa mdogo wa wabongo, kitu hakikuhusu achana nacho, nenda kaswali, hii show kwa taarifa yenu wabongo inaangaliwa na watu kibao vyumbani na inapendwa balaa Serikali bungeni walishawahi kupiga marufuku show hii na kutoa matamko mengi ya kihafidhina NA WAKACHEMSHA. wanamegwa w.a.k.e zenu seuze dada yetu,
Hujanisaidia. Soma tena kama hujanielewa tulia tu ulichojibu hakiendani na nilichoandika
 
nataka nije NIMKAZE vizuri huyo bibie LAVEDa tena maadam ni Mhaya mwenzangu nataka nimpige KA.TERERO ya nguvu. hiv unajipigaje vidole wakati sisi kaka zako tuliotoka wote Bukoba tupo?

msagaji yule kwanza aibu yake kajionyesha alivyopunguani kisha katoka
 
Mkuu una uhakika ni msagaji?? Me nafurahi kutoka kwake ila si vizuri kumsingizia mtu usiyemjua tabia ambazo sio zake..

we hukuona alilolifanya mbele ya camera huku akijua amekabidhiwa mic ili tumsikie si bola ya Bhoke aliekubali kupadwa
 
Laveda umeeondoka ukiheshimika.unarudi ukidharaulika mxuuuuu.

Ila watanzania tuna mambo........ Bhoke yeye aliamua kuvunja ukimya kabisa...........sasa sijui Kati ya Laveda na Bhoke nani aliaibisha..............
 
Ila watanzania tuna mambo........ Bhoke yeye aliamua kuvunja ukimya kabisa...........sasa sijui Kati ya Laveda na Bhoke nani aliaibisha..............

Laveda kajiaibisha aiseeee bora hata angefanya kweli kuliko alivyojifanyia.
 
Sijaona BBA ila demu kupiga nyeto ni haki yake kabisaaaaaa.... kama wanaume huko walizembea ajitongozeshe? Mi nampongeza kwa kuwa mwaminifu kwa boy wake
 
huyu Laveda hana mvuto kabisa PUA KUBWA ka kambale ndo maana masala walikuwa hawana time nae. Sijui anatokea BUKOBA huyu? halafu mwenyewe alikuwa anajiona makiiiini
 
nataka nije NIMKAZE vizuri huyo bibie LAVEDa tena maadam ni Mhaya mwenzangu nataka nimpige KA.TERERO ya nguvu. hiv unajipigaje vidole wakati sisi kaka zako tuliotoka wote Bukoba tupo?

kumbe ni MHAYA???? ahaaa!!! sasa nikeshapata jibu la swali langu, nilikuwa najiuliza how possible mwanamke ujigige finger hadharani bila soni, na akijua kabisa camera zinammulika, kumbeeeee!!!
 
Huyu Laveda siku chache tu hizo hata miez mitatu haijaisha anajipiga vidole nyege gan hizo mtoto wa kike ina maana alikua amezoea liboro kila siku je wangekua wanakaa mwaka mmoja mjengoni si angelua ashajiingizia hayo machupa ya bia yote ,bora katoka tu
 
du big noma siku 3 sasa idris anaosha vyombo na jj anaenjoy this

Hahaaaa
Akitoka hapo ..yule demu siyo ishu tena.

Nachomwonea huruma nadhani mahaba kahamishia kwa samantha na ubaya ni kuwa JJ anamtaka huyo bidada..sasa basi JJ kama HoH na superviser wa adhabu yake atamkomoaje..
 
wiki iliyopita jamaa alikuwa na mawazo sana baada ya kubwagwa na goitse atleast samantha anampa company wiki hii
 

Attachments

  • 1414662846663.jpg
    1414662846663.jpg
    12.2 KB · Views: 304
wiki iliyopita jamaa alikuwa na mawazo sana baada ya kubwagwa na goitse atleast samantha anampa company wiki hii

True dat,leo asbh uliona jinsi sheila na mr 265 walivyombana kuwa wakat wa michezo yao ilopita alihisi idris alianza kufil smthin kwa sheila hahaaa jamaa akshangaaa mwisho wa siku wakamgeukia sheila kuwa yeye ndio alishaanza kumfil idris alibanwa mpaka akata kukasirika,mr 265 ni m'mbea balaa
 
Back
Top Bottom