Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,792
Kama Novemba 3 Republicans wakijitokeza na kwenda kwa wingi kupiga kura Trump atashinda, ishu ya uchumi imembeba sanaBiden hashindi
Kama Novemba 3 Republicans wakijitokeza na kwenda kwa wingi kupiga kura Trump atashinda, ishu ya uchumi imembeba sanaBiden hashindi
Uko vizuri kwenye ramli 😅Nail biting election
HatariNail biting election
Trump haamini macho yake namba zinavyobadilika kwa kasi ya ajabu Georgia na Pennsylvania. Ndo maana alikuwa anapinga mail in ballots maana anajua nyingi ni za democrats na ndo zinahesabiwa saiviMajimbo ya
Georgia
Pensilvania
Arizona
Nevada
Yote karibu Viongozi wake ni Trump supporters..
Magavana ni Republican
Mayors Republican..
Wanaibaje kura??
Anaweweseka saivi. Anasema Georgia viongozi wake ni Democrats na kumbe ni republicans hahaha. Kichaa kinampandaDonald Trump atashinda kwa kishindo kama magufuli
Unajua jinsi chaguzi zinavyoendeshwa kweli?Majimbo ya
Georgia
Pensilvania
Arizona
Nevada
Yote karibu Viongozi wake ni Trump supporters..
Magavana ni Republican
Mayors Republican..
Wanaibaje kura??
Na hii system imesaidia leo watu wanagombania Nevada lenye watu wachache, USA haijawahi kuamuliwa na State kubwa kama California au Texas mimi nadhani ni mfumo bora kabisa hivi vi state vidogo wenye polutaion ndogo hata ikitokea sio tajiri sana lakini inatokea ndio wanaamua nani awe raisi. Ingekuwa kwetu Tz naona hata Pemba wangekuwa wanatuchagulia tatizo kwetu zote kijani 🤣 🤣 🤣Wananchi ndo wanaochagua ndio maana wanaenda kupiga kura. Hao wajumbe unaowasemea wao wanapiga kura mshindi akiwa ameshajulikana Ni Nani, na ndio maana wanapiga kura wiki kadhaa baada ya Uchaguzi na Ni vigumu kubadilisha matokeo kwani huenda Kama kumuidhinisha Rais mteule.
Unachopaswa kufahamu Ni kwamba hao wawakilishi wanatoka kila Jimbo na kila Jimbo Lina idadi ya wawakilishi. Iko hivi; mgombea anayeongoza kwa kupata Kura nyingi kutoka za wananchi katika Jimbo Fulani Basi ndiye anayechukua zile kura za wawakilishi. Mfano New York ina wawakilishi/ electral colleges 20 Basi Biden akiongoza kwa kupata kura nyingi za wananchi anazawadiwa 20 na hizo ndo kura zake. Utaratibu huu utaendelea hivo kwa majimbo yote. Baada ya hapo kinachojumlisha Ni idadi ya namba za wawakilishi ulizojikusanyia kutoka kila Jimbo ambalo umeongoza kwa kupata kura nyingi A wananchi.
Florida ni jimbo dogo?Na hii system imesaidia leo watu wanagombania Nevada lenye watu wachache, USA haijawahi kuamuliwa na State kubwa kama California au Texas mimi nadhani ni mfumo bora kabisa hivi vi state vidogo wenye polutaion ndogo hata ikitokea sio tajiri sana lakini inatokea ndio wanaamua nani awe raisi. Ingekuwa kwetu Tz naona hata Pemba wangekuwa wanatuchagulia tatizo kwetu zote kijani 🤣 🤣 🤣
Unajua jinsi chaguzi zinavyoendeshwa kweli?
Au unahisi, kudhani, na kusadiki tu?
Marekani, magavana na ma meya hawahusiki kabisa na usimamizi wa chaguzi, achilia mbali uhesabuji wa kura.
Ni secretaries of state ambao ndo huhusika, ingawa nao hawahusiki moja kwa moja na uhesabuji wa kura.
Wahusika wakuu wapo kwenye counties. Unajua counties ni nini?
Hao wahusika wakuu wa kwenye counties ndo wanaweza kucheza michezo michafu.
Ukikuta county government iko chini ya Dems au Repubs, halafu matokeo yachelewe, hapo ndipo mianya ya figisu inapotokea, hususan kama county government iko chini ya viongozi wa chama A au B.
Jingine, Pennsylvania na Nevada, magavana wake ni Dems.
Georgia na Arizona, magavana wake ni Repubs.
Lakini meya wa Atlanta ni Dem. Meya wa Phoenix ni Dems. Hata Maricopa county, Phoenix, ipo chini ya Dems.
Fulton County, ambayo ndo most populous county kwenye jimbo la Georgia, ambapo mji wa Atlanta upo, ipo chini ya Dems. Na kwenye jimbo hilo, hiyo ndo moja ya counties za mwisho kuripoti matokeo.
Uwezekano wa figisu upo maana walio in charge na kuhesabu kura, inategemea na hao local election officials.
Governors na mayors hawana usemi wowote ule na hata matokeo huwa hayapelekwi kwenye ofisi zao.
Matokeo hutangazwa na ofisi ya Secretary of State.
Trump kashindwa si kwa sababu ya sera zake, bali style yake [au unaweza kusema character yake].
Ni vyema kuuelewa vizuri mfumo wa chaguzi za Marekani ukoje...
Achana na huyo ni pro trump halafu yupo Georgia. Anapata kichaa kama baba ake TrumpUkitazama CNN mara kadhaa wanasema
Trump alikuwa anawapigia simu Magavana WA hayo majimbo ambao mostly ni Republicans...
Sijaona nilichoongea tofauti..
Wasimamizi WA vyama vyote wanakuwepo kwenye usimamizi wa kura.
Au county ikiwa democrats wanakuwepo Democrats alone kwenye kusimamia na kuhesabu??




CNN? Seriously???Ukitazama CNN mara kadhaa wanasema
Trump alikuwa anawapigia simu Magavana WA hayo majimbo ambao mostly ni Republicans...
Sijaona nilichoongea tofauti..
Wasimamizi WA vyama vyote wanakuwepo kwenye usimamizi wa kura.
Au county ikiwa democrats wanakuwepo Democrats alone kwenye kusimamia na kuhesabu??
Duh!!!Na hii system imesaidia leo watu wanagombania Nevada lenye watu wachache, USA haijawahi kuamuliwa na State kubwa kama California au Texas mimi nadhani ni mfumo bora kabisa hivi vi state vidogo wenye polutaion ndogo hata ikitokea sio tajiri sana lakini inatokea ndio wanaamua nani awe raisi. Ingekuwa kwetu Tz naona hata Pemba wangekuwa wanatuchagulia tatizo kwetu zote kijani 🤣 🤣 🤣
CNN? Seriously???
Magavana wa majimbo gani ambao ni mostly Republicans?
Ulichoongea kilicho tofauti ni kusema kuwa kama Gavana na mameya ni Republicans, basi ni vigumu kuiba kura.
Mimi ndo nikaenda ndani zaidi na kukueleza kuwa, magavana na mameya hawahusiki na chochote kuhusu uhesabuji wa kura. Nikakueleza ni akina nani wanahusika na uhesabuji.
Kuhusu uhesabuji, wanatakiwa kuwepo waangalizi toka pande zote. Ila, chaguzi zilizo hotly contested hazikosi figisu.
Huko PA kuna waangalizi wa GOP waliotimuliwa kutoka kwenye baadhi ya vyumba vya kuhesabia kura mpaka wakaenda mahakamani.