Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

Basi kuna ndugu zetu humu ukiuliza ufafanuzi zaidi kuhusu sehemu za bible zenye ukakasi watakuambia hutakiwi uliza kiundani mara wakuulize dini kwanza yaani shida tupu
tunaamini Mungu na operation zake ni infinity wakati sisi ni finite being with finite mind.
Kitu kikubwa kwenye bibilia mwanadamu anatambulishwa kwa Mungu wake. ili awe na ukaribu na urafiki wa kina na huyu Muumbaji wake, kitu kikubwa na cha awali anapomwendea huyu Muumba wake ni kutambua yeye hana chochote na hawezi chochote nje ya mahusiano hayo..
Urafiki wa kina na Mungu kwa njia ya Maombi na kutafakari maneno yake, kuzungumza naye bila kukata mawasiliano yatakufanya muelezane mambo mengi ambayo kwa kukwepa haya mahusiano yq kiumbe na muumba wake wengi wamejikuta kuzama kwa kujikita kwenye elimu na masimulizi ya kizee na ya uongo na wanafananishwa na mtu aliyeingia na sururu kuchimba shimbo hewani.

Kwangu mimi ukiniuliza bibilia ni nini, nitakwambia ni kitabu cha mahusiano kati ya Mungu na mwanadamu. One to one close intimacy relation. Hili alilifanya Ibrahim Mungu akamuita ni Rafiki yake wa Milele.
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhistory ya yesu,ukiifuata ukaweka timeline,matukio yote hayazidi wiki mbili,kuanzia apate ubatizo wa yohana,hujakaa sawa yuko galilaya,ghafla huyoo anakwenda jerusalem na hapohapo anatundikwa msalabani,too short,undefinedsasa kuna maandiko mengine kumuhusu yesu akiwa bado mdogo,yakafichwa na ama kukataliwa,walikuwa wanaficha nini ndo swali la kujiuliza,undefinedkuhusu Daud kuwa homesexual,mbona ushahidi uko ndani ya bible,japo hawasemi direct lakini ukisoma unaelewa tu,wala sikutoa nje ya maandiko
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhistory ya yesu,ukiifuata ukaweka timeline,matukio yote hayazidi wiki mbili,kuanzia apate ubatizo wa yohana,hujakaa sawa yuko galilaya,ghafla huyoo anakwenda jerusalem na hapohapo anatundikwa msalabani,too short,undefinedsasa kuna maandiko mengine kumuhusu yesu akiwa bado mdogo,yakafichwa na ama kukataliwa,walikuwa wanaficha nini ndo swali la kujiuliza,undefinedkuhusu Daud kuwa homesexual,mbona ushahidi uko ndani ya bible,japo hawasemi direct lakini ukisoma unaelewa tu,wala sikutoa nje ya maandiko
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhistory ya yesu,ukiifuata ukaweka timeline,matukio yote hayazidi wiki mbili,kuanzia apate ubatizo wa yohana,hujakaa sawa yuko galilaya,ghafla huyoo anakwenda jerusalem na hapohapo anatundikwa msalabani,too short,undefinedsasa kuna maandiko mengine kumuhusu yesu akiwa bado mdogo,yakafichwa na ama kukataliwa,walikuwa wanaficha nini ndo swali la kujiuliza,undefinedkuhusu Daud kuwa homesexual,mbona ushahidi uko ndani ya bible,japo hawasemi direct lakini ukisoma unaelewa tu,wala sikutoa nje ya maandiko
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhistory ya yesu,ukiifuata ukaweka timeline,matukio yote hayazidi wiki mbili,kuanzia apate ubatizo wa yohana,hujakaa sawa yuko galilaya,ghafla huyoo anakwenda jerusalem na hapohapo anatundikwa msalabani,too short,undefinedsasa kuna maandiko mengine kumuhusu yesu akiwa bado mdogo,yakafichwa na ama kukataliwa,walikuwa wanaficha nini ndo swali la kujiuliza,undefinedkuhusu Daud kuwa homesexual,mbona ushahidi uko ndani ya bible,japo hawasemi direct lakini ukisoma unaelewa tu,wala sikutoa nje ya maandiko
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhistory ya yesu,ukiifuata ukaweka timeline,matukio yote hayazidi wiki mbili,kuanzia apate ubatizo wa yohana,hujakaa sawa yuko galilaya,ghafla huyoo anakwenda jerusalem na hapohapo anatundikwa msalabani,too short,undefinedsasa kuna maandiko mengine kumuhusu yesu akiwa bado mdogo,yakafichwa na ama kukataliwa,walikuwa wanaficha nini ndo swali la kujiuliza,undefinedkuhusu Daud kuwa homesexual,mbona ushahidi uko ndani ya bible,japo hawasemi direct lakini ukisoma unaelewa tu,wala sikutoa nje ya maandiko
 
ZABURI. 1
1. Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki;
Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2. Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.
3. Naye atakuwa kama mti uliopandwa
Kandokando ya vijito vya maji,
Uzaao matunda yake kwa majira yake,
Wala jani lake halinyauki;
Na kila alitendalo litafanikiwa.
4. Sivyo walivyo wasio haki;
Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5. Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni,
Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.
6. Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki,
Bali njia ya wasio haki itapotea.
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhttp://www.bbc.co.uk/blogs/ni/2011/07/was_king_david_gay.html
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
undefinedhttp://www.bbc.co.uk/blogs/ni/2011/07/was_king_david_gay.html
 
Siyo kweli, jamaa...! Vitabu hivyo vya matukio si vya kishetani kama unavyotaka kuaminisha watu, imagine kama Biblia ingeandika matukio ya kila siku ya Yesu Kristo...! Na waandishi waliotajwa wote wa vitabu vya matukio/maisha ya wafalme hawa hakuna aliyekuwa mganga wa kienyeji hata mmoja. Nilidhani nitaona mahali kwamba TAZAMA MAISHA YOTE YA YEHU/YEHOSHAFAT/DAUDI/SELEMANI YAMEANDIKWA KATIKA KITABU CHA YEZEBEL...! Kama utetezi wako ni hoja ya USHOGA lete rejea kwenye hivyo vitabu hapa iliposema kuwa Daudi alikuwa na tabia hiyo...
Mkuu nafikiri hujasoma uzi wangu wote ukauelewa hoja hapa haikuwa Daudi ni shoga au sio shoga bali hoja ni kwamba je kwanini huwa mnataka reference kutoka ndani ya Biblia pekee ilihali bible imetoa mpaka nje ya Biblia??

Mfano Biblia kwenye kitabu cha Yuda inaquote kitabu cha Henoko ambacho kinakiri kuwa malaika walizaliana na binadamu kitu ambacho Biblia inapinga je na sisi tukiquote Kitabu cha Henoko tutakuwa sahihi??

Naposema upagani sio maneno yangu bali Kanisa zima sio protestant wala catholic wanaviterm vitabu vya Pseudepigrapha kama mafundisho ya uongo maana yanakinzana na Biblia..... Mfano kitabu cha Yasher biblia inakinakiri lakini jasher ukikisoma kinakinzana na Biblia maeneo mengi sana ndio maana havina credibility

Sasa ww unayesema hivo vitabu sio vya kipagani je unakubaliana na misimamo ya Henoko na Yasheri juu ya kukinzana na vitabu vya kibiblia?? Je unaamini gharika lilikuja sababu ya malaika kuzaa na wanadamu na sio dhambi za walimwengu kama bible inavyosema??

Embu tuwekane sawa hapo
 
ZABURI. 1
1. Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki;
Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.
2. Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.
3. Naye atakuwa kama mti uliopandwa
Kandokando ya vijito vya maji,
Uzaao matunda yake kwa majira yake,
Wala jani lake halinyauki;
Na kila alitendalo litafanikiwa.
4. Sivyo walivyo wasio haki;
Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5. Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni,
Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.
6. Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki,
Bali njia ya wasio haki itapotea.
Una maana gani kuleta hiki kifungu hapa?? Unafkiri kuhoji ndio hatufahamu Biblia?? Na hii ndio shida ya JF mtu akihoji tu masuala ya imani anaonekana shetani na hii ndio inafanya reasoning zetu hazikui

Sasa mfano mtu anaambiwa mnara wa babeli ulijengwa kufikia mbinguni.... Hivi kwani mbingu iko mawinguni?? Hilo nalo ukihoji dhambi?? Je akitokea mpagani unamhubiria akakuuliza hilo swali ukishindwa kujibu unategemea ataokoka??

Narudia tena tupende kuhoji ili tufunguke zaidi.... Na mmi tangu nianze hii mijadala yangu humu mimi binafsi nmejikuta nasoma sana maandiko ya dini zote sio Quran sio Biblia sio Talmud ya wayahudi na nyie mjijengee huo utaratibu wa kujihoji maswali ili mchimbue maandiko sio kutoa kejeli tu hazisaidii ndio maana mkikutana na waislam ni rahisi kuwaangusha kwenye mijadala ya maandiko.
 
"Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema."

2 Timotheo 3:16-17

"Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki." (Ufunuo 22:18)

BIBLIA IMEJIOSHELEZA HAIHITAJI REFERENCE OUT OF IT.
Well and good kwahiyo Yuda alivyotumia reference ya kitabu cha Henoko alifanya dhambi??

Kwahiyo Joshua alipofanyia Kitabu cha Yasheri kama reference alifanya dhambi?

Duh sikufahamu hili nashukuru kwa kunifungua macho..... Kwahiyo nao watateketea kwa moto siku ya mwisho??
 
Mkuu mitale na midimu nimesoma hoja yako na nimeielewa ila labda ungenisaidia kujibu haya maswali ili tuwe page moja

1. Je kama waandishi wa Biblia waliquote baadhi ya vitabu ambavyo leo hii havitambuliki na kanisa.... Sisi je tukiwaiga na kujengea hoja kupitia hivyo vitabu tutakuwa sahihi??

2. Niliuliza pia kwamba kuna baadhi ya vitabu nilivyotaja hapo juu vinatambulika kama LOST BOOKS OF THE BIBLE.... Ikimaanisha vilikuwa halali toka enzi za kina Daudi ila VILIPOTEA... Sasa swali linakuja je ina maana Biblia haipo complete sababu kuna baadhi ya script zilipotea?? Na pia nini hatma ya Biblia kama maneno ya Mungu ilihali yanaweza kupotea??

3. Pia nimeuliza kama Vitabu hivyo vilikuwa quoted na waandishi wa Biblia je ni kwanini havipo kwenye Biblia?? Na kama havipo ina maana sio halali sisi kutumia?? Na kama sio halali je kivp mitume walivitumia??

Natanguliza shukrani zangu
 
Una maana gani kuleta hiki kifungu hapa?? Unafkiri kuhoji ndio hatufahamu Biblia?? Na hii ndio shida ya JF mtu akihoji tu masuala ya imani anaonekana shetani na hii ndio inafanya reasoning zetu hazikui

Sasa mfano mtu anaambiwa mnara wa babeli ulijengwa kufikia mbinguni.... Hivi kwani mbingu iko mawinguni?? Hilo nalo ukihoji dhambi?? Je akitokea mpagani unamhubiria akakuuliza hilo swali ukishindwa kujibu unategemea ataokoka??

Narudia tena tupende kuhoji ili tufunguke zaidi.... Na mmi tangu nianze hii mijadala yangu humu mimi binafsi nmejikuta nasoma sana maandiko ya dini zote sio Quran sio Biblia sio Talmud ya wayahudi na nyie mjijengee huo utaratibu wa kujihoji maswali ili mchimbue maandiko sio kutoa kejeli tu hazisaidii ndio maana mkikutana na waislam ni rahisi kuwaangusha kwenye mijadala ya maandiko.
ok unataka kutuambia nini kwenye mjadala wako???
 
ok unataka kutuambia nini kwenye mjadala wako???
Kwamba kwa kuwa waandishi wa Biblia walitumia reference za vitabu nje ya Biblia je na sisi wakristo wa sasa ni sawa tukijengea reference ya matukio ya Biblia kwa vitabu vilivyo nje ya Biblia??

Na kama ni sawa ni kwanini basi mfano wa humu JF tukijengea hoja let's say ya maisha ya Yesu au Cain kutumia vitabu vya nje ya Biblia wakristo wa humu huwa wanapinga hizo hoja kwa kusema kuwa '' hivyo vitabu tulivyotumia havimo katika bible hivyo hoja hazina mashiko''

Nini ni mtazamo wako katika hili....
 
Sasa kama Lutu aliweza kulala na binti yake kwanini unaamini daudi hawezi fanya uhuni?? Mbona alimlala mke wa mwanajeshi wake na baadae akamuua kabisa?? Who is David mpaka asifanye huo uhuni??
Na kuna other schools of thoughts kuwa Noah aliingiliwa kimwili na kuhasiwa na mwanawe ili asipate mtoto wa nne ndio hasira zake kumlaani mtoto wa nne.
Google.com.Catholic dictionary.
 
Nyie ndo huwa mnaharibu mada nzuri za Zitto juniour ambazo huwa zinatufungua ubongo.
Nyie hizi zenu mnachokonoa mistari yenye maana tofauti kabisa na tafsiri zenu
kama unadhani biblia yako ni kitabu cha maana sana,soma hapa;



YEHOVA ARUHUSU WATU KULA WATOTO WAO

Kumbukumbu la Torati 28:53

53 Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa Bwana, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.



YEHOVA KUWAPAKA MAVI MAKUHANI

Malaki 2:1-3

2 Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema Bwana wa majeshi, basi nitawapelekeeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.

3 Angalieni, nitaikemea mbegu kwa ajili yenu, nami nitapaka nyuso zenu mavi, naam, mavi ya vyakula vyenu; nanyi mtaondolewa pamoja nayo



YESU AWAAMBIA WAFUASI WAKE WANUNUE MAPANGA

Luka 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na upanga, na auze joho yake akanunue.

YEHOVA HATAKI BINADAMU AJUE MEMA NA MABAYA

Mwanzo 3:22

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Sasa, binadamu amekuwa kama mmoja wetu, anajua mema na mabaya. Lazima kumzuia kula lile tunda la mti wa uhai, kwani akilila ataishi milele!”



YEHOVA AUA HALAIKI NA KUWAACHA BIKRA

HESABU 31:15-17

15 Kwa hiyo Musa akawaambia: “Je, mmemhifadhi hai kila mwanamke?+ 16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+ 17 Na sasa ueni kila mtoto wa kiume, na kumuua kila mwanamke ambaye amefanya ngono na mtu kwa kulala na mwanamume


YEHOVA ATAKA WATU WATII SERIKALI HATA KAMA HAIKUCHAGULIWA NA WATU

Warumi 13

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.


YEHOVA MUASISI WA MFUMO-DUME

1 timotheo 2:11-12

11 Mwanamke na ajifunze akiwa kimya na kwa kujitiisha kikamili.+ 12 Simruhusu mwanamke kufundisha,+ wala kuwa na mamlaka juu ya mwanamume,+ bali kuwa kimya.



YEHOVA,MUASISI WA UTUMWA

Mwanzo 9:25-27

25 Basi akasema:“Alaaniwe Kanaani.

Na awe mtumwa wa hali ya chini kabisa kwa ndugu zake.”26 Naye akasema tena:“Abarikiwe Yehova, Mungu wa Shemu,Kanaani na awe mtumwa wake. 27 Mungu na ampe Yafethi nafasi ya kutosha,Akae katika mahema ya Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake pia.”



PONOGRAFIA NDANI YA BIBLIA

Ezekieli 23:20

Aliwatamani sana wanaume wenye uume kama wa punda na manii kama farasi dume.”

YEHOVA BINGWA WA KUKOMOA NA KUTESA

Kumbukumbu la torati 28:28-35

28 Yehova atakupiga kwa wazimu+ na kupoteza uwezo wa kuona+ na kuchanganyikiwa kwa moyo.+ 29 Nawe kwa kweli utakuwa mtu anayepapasa-papasa katikati ya mchana, kama vile kipofu anavyopapasa-papasa gizani,+ nawe hutafanya njia zako zifanikiwe; nawe utakuwa mtu tu ambaye sikuzote hupunjwa na kunyang’anywa, pasipo mtu wa kukuokoa.+ 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atamlala kinguvu.+ Utajenga nyumba, lakini hutakaa ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kutumia matunda yake.+ 31 Ng’ombe-dume wako atachinjwa hapo mbele ya macho yako—lakini hutakula sehemu yoyote yake. Utanyang’anywa punda wako mbele ya uso wako—lakini hatarudi kwako. Kondoo wako watapewa adui zako—lakini hutakuwa na mwokozi yeyote.+ 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+ 33 Mazao ya udongo wako na mazao yako yote yataliwa na watu ambao hukuwajua;+ nawe utakuwa mtu aliyepunjwa na kupondwa sikuzote.+ 34 Nawe utatiwa wazimu kwa kuona kwa macho yako mambo ambayo utaona.+ 35 “Yehova atakupiga kwa jipu hatari kwenye magoti yote mawili na miguu yote miwili, ambalo hutaweza kupona, kutoka wayo wa mguu wako mpaka utosi wa kichwa chako

YEHOVA AHAMASISHA WATU WAPIGANE

Kumbukumbu la torati 25:11

11 “Ikiwa wanaume wawili watapambana pamoja, na mke wa mmoja awe amekuja karibu ili kumkomboa mume wake kutoka mkononi mwa yule anayempiga, naye ameunyoosha mkono wake na kumkamata sehemu zake za siri,+ 12 basi ukate mkono wa mwanamke huyo.

YEHOVA APANDISHA JAZBA,AUA WATOTO 42 PAPO HAPO

2 wafalme 2:23-25

3 Naye akapanda kutoka hapo mpaka Betheli.+ Alipokuwa akipanda njiani, tazama, palikuwa na wavulana+ wadogo waliotoka katika jiji, nao wakaanza kumdhihaki,+ wakazidi kumwambia: “Nenda juu, wewe kipara!+ Nenda juu, wewe kipara!” 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+ 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.



YEHOVA APITISHA ADHABU YA KIFO KWA MLEVI

Kumbukumbu la torati 21:18-21

“Ikiwa mtu atakuwa na mwana ambaye ni mkaidi na mwasi,+ awe hasikilizi sauti ya baba yake au sauti ya mama yake,+ nao wamemrekebisha bali yeye hawasikilizi,+ 19 baba yake na mama yake watamshika na kumtoa nje mpaka kwa wanaume wazee wa jiji lake na kwenye lango la mahali pake,+ 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ 21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe.



YEHOVA ANYANYAPAA VILEMA,WENYE PUA PANA(KAMA zA WATU WEUSI)

Mambo ya walawi 21:17-23

17 “Sema na Haruni, na kumwambia, ‘Mtu yeyote wa uzao wako katika vizazi vyao vyote ambaye ana kasoro+ asije karibu ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 18 Ikiwa kuna mtu yeyote mwenye kasoro, asikaribie: mtu aliye kipofu au kilema au mwenye pua pana au mwenye kiungo kimoja kilicho kirefu mno,+ 19 au mtu aliyevunjika mguu au aliyevunjika mkono, 20 au mwenye kijongo au aliyekonda au mwenye ugonjwa wa macho au mwenye vigaga au mwenye mba au aliyevunjwa mapumbu yake.+ 21 Mtu yeyote wa uzao wa Haruni kuhani ambaye ana kasoro hatakaribia ili kutoa matoleo ya Yehova kwa njia ya moto.+ Kuna kasoro ndani yake. Hatakaribia ili kuutoa mkate wa Mungu wake.+ 22 Anaweza kula mkate wa Mungu wake kutoka kati ya vitu vitakatifu zaidi+ na kutoka kati ya vitu vitakatifu.+ 23 Hata hivyo, hatakaribia pazia,+ wala hatakaribia madhabahu,+ kwa sababu kuna kasoro ndani yake;+ naye hatapatia unajisi patakatifu pangu,+ kwa kuwa mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.



YEHOVA AFANYA MAUAJI YA HALAIKI,AUA WATOTO WACHANGA HADI WANYAMA

1 samweli 15:3

3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’



YEHOVA APATA KIU YA DAMU YA BINADAMU

Mwanzo 22:2

Mungu akamwambia, “Mchukue mwanao, Isaka, mwanao wa pekee umpendaye, uende mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuonesha.”



YESU AWATAKA WATUMWA KUTII MABWANA WAKATILI

1 Petro 2:18

18 Ninyi watumwa, watiini mabwana wenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wapole na wema peke yao, bali hata wale walio wakali.
 
Back
Top Bottom