sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,206
- 8,040
Dunia mpya tena huru bila shetani.Sasa YEHOVA anahaja gani ya kuimaliza dunia wakati tutabakia hapa hapa baada ya utawala wa shetani?
Dunia mpya tena huru bila shetani.Sasa YEHOVA anahaja gani ya kuimaliza dunia wakati tutabakia hapa hapa baada ya utawala wa shetani?
Kama shida shetani kwanini asimmalize tuu, dunia ikawa huru bila ya uwepo wake huyo shetani?Dunia mpya tena huru bila shetani.
Mpaka muda utakapowadia.Kama shida shetani kwanini asimmalize tuu, dunia ikawa huru bila ya uwepo wake huyo shetani?
Hivi itawezekana wanaadam wasavive miaka elfu bila ya vita, njaa etc. Hivi hufikiri kuwa haya mambo ndio yanayoifanya hii human race kuwa imara? Hivi unahisi taifa bila ya uhalifu na wahalifu linaweza kubaki?Kijana naona huelewi ,ni hivi wanavyodai,,yehova atatuma masiha kuja kuwakomboa watu wake wanaoteseka utumwani(dhambini),atapokuja masiha,atapigana,hapa lazima vita uwepo,kuuteka jerusalemu ulio mkuu,kisha baada ya ushindi,itapita miaka 1000 ya amani,hakuna kuugua,hakuna njaa,vita etc yaani full amani,
Masiha atalijenga hekalu upya pake jerusalem,,na sasa wanadamu wote watakuja kuabudu dini moja katika jerusalem mpya,huo ndo mwisho wa dunia,
Waovu watatupwa motoni Gehanum(mind you,Gehanum ilikuwa ni dampo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem,ambako always palifuka moshi wa moto usiku na mchana,tokana na moto uliokuwa ukiwaka daima,ukichoma takataka).
Hivyo kwa mujibu wa unabii sasa,watenda dhambi,watatupwa jehanum ili wakachomwe na moto wa milele,ambao hauzimi kamwe,,,
Mkuu ni wapi Biblia imesema watenda dhambi watatupwa motoni?Kijana naona huelewi ,ni hivi wanavyodai,,yehova atatuma masiha kuja kuwakomboa watu wake wanaoteseka utumwani(dhambini),atapokuja masiha,atapigana,hapa lazima vita uwepo,kuuteka jerusalemu ulio mkuu,kisha baada ya ushindi,itapita miaka 1000 ya amani,hakuna kuugua,hakuna njaa,vita etc yaani full amani,
Masiha atalijenga hekalu upya pake jerusalem,,na sasa wanadamu wote watakuja kuabudu dini moja katika jerusalem mpya,huo ndo mwisho wa dunia,
Waovu watatupwa motoni Gehanum(mind you,Gehanum ilikuwa ni dampo la takataka lililokuwa nje ya mji wa jerusalem,ambako always palifuka moshi wa moto usiku na mchana,tokana na moto uliokuwa ukiwaka daima,ukichoma takataka).
Hivyo kwa mujibu wa unabii sasa,watenda dhambi,watatupwa jehanum ili wakachomwe na moto wa milele,ambao hauzimi kamwe,,,
Mkuu nimekuelekeza kua lazma uelewe tupo katika utawa wa shetani ndio maana kuna njaa,vita,magonjwa nk.Hivi itawezekana wanaadam wasavive miaka elfu bila ya vita, njaa etc. Hivi hufikiri kuwa haya mambo ndio yanayoifanya hii human race kuwa imara? Hivi unahisi taifa bila ya uhalifu na wahalifu linaweza kubaki?
Namaanisha ipo vilevile kama ilivyo, hayo ya kuharibiwa umezua weweKwani nani alikwambia dunia itaharibiwa? Biblia inasema Yehova hata iharibu dunia kwa moto au maji tena! napia hakuna kitu chochote kitacho iharibu dunia..
Kwahiyo watatupwa wapi?Mkuu ni wapi Biblia imesema watenda dhambi watatupwa motoni?
mnakosea `YEHOVA" heshima na kumfanya aonekane katili..
Soma kichwa cha thread kisha angalia unavyo ni hukumu bure mkuu..Namaanisha ipo vilevile kama ilivyo, hayo ya kuharibiwa umezua wewe
Wewe unatutabiria mwisho kama vile uliwahi kuishi hapo mwanzo_kana kwamba siku zilizopita zilikuwa bora kuliko hizi kwamba watu hawakuwa wanafanya yanayofanyika sasa
Ndio nakushangaa hapa una uhakika gani..?
Mhubiri 9.6 tukifa hatuwezi kuona,kusikia wala kufikiri.. kama wafu hawajui lolote kuna haja gani ya kumtesa mfu kwenye moto wakati unajua hajui lolote?Kwahiyo watatupwa wapi?
Kwani mimi niliposema sodoma na gomora walinyukana nilitoa kichwani kwangu.?Soma kichwa cha thread kisha angalia unavyo ni hukumu bure mkuu..
Haya yaliyo andikwa yametoka kwenye biblia sio kichwani kwangu..
kwahiyo futa mawazo ya kusema na watabiria..kwasababu mimi sio nabii!
hayo yaliandikwa zaidi ya miaka 1000 iliyo pita.. na pia kuiamini biblia sio chaguo langu ni maamuzi yako mwenyewe..!
Kwani swali lako haswa ni nini?Kwani mimi niliposema sodoma na gomora walinyukana nilitoa kichwani kwangu.?
Mimi sikuuliza nilitoa hoja ndongo ya ulinganifuKwani swali lako haswa ni nini?
Je unajua kua biblia inapata na sayansi kwa 100%Mmeanza kututisha tena wakati tulikuwa tumetulia!
Sawa asante! kama unaswali kuhusu biblia uliza.!Mimi sikuuliza nilitoa hoja ndongo ya ulinganifu
Labuda!Je unajua kua biblia inapata na sayansi kwa 100%
Je unajua kua biblia inapata na sayansi kwa 100%
Basi niambie kitu ambacho biblia inakosea..!100% sio kweli mkuu, labda uthibitishe. Ni mambo machache sana ambayo biblia na sayansi vinapatana