PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,831
Reaction score
25,117
Kama unavyomsikia Bibi wa Taifa kwenye clip hapo chini, anasema maiti za wananchi waliouliwa wakati wa sekeseke la MO29 na kisha miili yao kuchukuliwa na kupelekwa kusikojulikana, ziliteketezwa kwenye tanuru la kiwanda cha sementi.
Wakati watu wanatafuta miili ya ndugu zao wazike kumbe miili hiyo tayari ilishateketezwa! Anasema maiti nyingi zilizochukuliwa kwenye hospitali za Dar zilichomwa kwenye tanuru la kiwanda cha sementi Wazo Hill. Hii ni mbaya sana.


MAONI YANGU

Kama kweli hizo maiti ziliteketezwa kwenye tanuru la sementi badala ya kuwapa ndugu wawazike wapendwa wao, hili ni jambo la kinyama sana. Haijawahi kutokea ktk historia ya nchi hii. Sijawahi kushuhudia uovu wa namna hiyo aslani. Ikiwa majivu ya miili iliyoteketezwa yanaweza kupatikana, nashauri ndugu wapewe wakazike.
 
script potofu, nonsense na za kizushi kama hizi hudhalilisha wazazi wa watu, familia na ukoo mzima.

maskini mzazi wa watu kabebwa ufala kifikra na pengine kapewa elfu5 tu ajidhalilishe hivyo na kudhalilisha wanawe.

umaskini ni kitu mbaya sana aise
Bibi huwa anaongea mambo mengi ya kulikanya na kuliponya taifa. Wewe ndio kwanza unamsikia leo?
 
Bibi huwa anaongea mambo mengi ya kulikanya na kuliponya taifa. Wewe ndio kwanza unamsikia leo?
unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu.
ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio kweli
 
Hivi na yule mwalimu wa Kenya maiti yake haijapatikana hadi leo?
 
script potofu, nonsense na za kizushi kama hizi hudhalilisha wazazi wa watu, familia na ukoo mzima.

maskini mzazi wa watu kabebwa ufala kifikra na pengine kapewa elfu5 tu ajidhalilishe hivyo na kudhalilisha wanawe.

umaskini ni kitu mbaya sana aise
Wapotofu wote lazima muumizwe sana na maneno ya kila mzalendo wakweli kama huyu.
 
unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu.
ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio kweli
Wale wanawake level yako wanaonuka mitaro leo weka order 7.
 
unaju uzushi ni jmbo la fedheha sana hasa unapokua umeshupaliwa na mama tena mzazi wa mtu.
ni fedheha zaidi kwa wanawe na ukoo wake kwa ujumla kwasababu hiyp porojo haina athari zaidi, ispokua kama anatumiwa mitandaono kutengeneza contents za kumuingizia kipato bila kujali kwamba ni kweli au sio kweli
Wewe ukweli unao? Mbona hujawahi kuuweka hadharani? Kama huna ukweli acheni wenye ukweli waseme. Wewe kinachokuuma nini? Unajua uchungu walionao ndugu ambao miili ya wapendwa wao iliteketezwa? Hebu vaa viatu vyao kwanza kabla ya kuja hapa kutetea uovu mkuu.
 
Mkuu, je, wewe unajua miili ilipelekwa wapi?
Swali zuri sana. Basi kama yeye anajua atueleze ilipo ili ndugu waichukue wakawazike wapendwa wao kwa staha na utu.
 
uumizwe na nani gentleman?
na huyo mbibi mzazi wa wenyewe au?

huenda anawafedhehesha wanawe kwa kutumika vibaya mitandaoni
Je, maumivu ya watoto wa bibi ni makubwa kuliko ya ndugu na jamaa ambao hawakupewa miili ya wapendwa wao wakazike?
 
Je, maumivu ya watoto wa bibi ni makubwa kuliko ya ndugu na jamaa ambao hawakupewa miili ya wapendwa wao wakazike?
kumbe porojo na uzushi vinaweza kuumiza gentleman?
unaumia kwabisa kwa uongo gentleman?
 
Back
Top Bottom