Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
![]()
BIBI AMEAMIA CHADEMA
BAADA YA KUAMBIWA KUWA CCM NI YA FAMILIA ZIFUATAZO
1.LOWASSA
2.MKAPA
3.KINANA
... 4.CHENGE
5.MWINYI
6.KARUME
7.ROSTAM
8.SITTA
9.MRAMBA
BIBI ALIPOGUNDUA FAMILIA YAKE HAIPO, NIKAMWAMBIA HAWAKUJUI
HIVYO TUSIO CCM WOTE TUKO CHADEMA,
BIBI ALITUPA KILEMBA CHA CCM NAKUOMBA SKAFU NILIYOKUWA NIMEVAA NA KUMPA
UKOMBOZI NI SASA
Source: Mimi mwenyewe
Kumbe kadanganywa! Siku akigundua kwamba Mwanzilishi wa CHADEMA ni mzee Mtei ambaye ni Baba Mkwe wa Mwenyekiti wa CHADEMA atahama tena kurudi CCM ama ataenda NCCR ama kwingineko na ataichukia CHADEMA yeye pamoja na wajukuu zake.