Bibi harusi atoroka saa chache kabla ya ndoa huko Moshi-Kilimanjaro

Bibi harusi atoroka saa chache kabla ya ndoa huko Moshi-Kilimanjaro

Duh aisee ni hatari sana,inawezekana mpenzi wake wa zamani amerudisha majeshi na kumsihi asifunge ndoa na jamaa kwa sababu yeye ndio chaguo lake halaf bibie msomi akaingia line.Pamoja na elimu yake yote ameshindwa kufikiria kwa kutumia akili kwa sababu bora angekaa na jamaa amueleze tu hali halisi kwamba hataki kuolewa nae.
Ila majuto ni mjukuu,pole sana kwa braza aliye toroshewa ndege wake inauma sana
 
Bidada aliamua tu kumdhalilisha jamaa. Angeweza kumpiga chini kabla ya maandalizi yote hayo

Umeongea jambo la hekima sana....lakini swali
kwanini amfanyie mwenzie hivyo tena siku ya
tukio ambalo wazazi huwa wanajua kuwa mnaondoka
kwenda kufanya nini huko honey moon...
 
Nilipoisikia hiyo, nikapata wazo huenda bibi harusi ni mtu wa visasi, na alisubiri kwa hamu siku hiyo ili aweze kukamilisha kisasi chake kwa ubaya flani ambao huenda bwana harusi ameshawahi mtendea.

wala bibi harusi alikuwa akimpenda sana muwe mtarajiwa kwani hata
siku ya send off alifurahi nae sana mpaka watu tulibaki tumeduwaa....
 
Duh aisee ni hatari sana,inawezekana mpenzi wake wa zamani amerudisha majeshi na kumsihi asifunge ndoa na jamaa kwa sababu yeye ndio chaguo lake halaf bibie msomi akaingia line.Pamoja na elimu yake yote ameshindwa kufikiria kwa kutumia akili kwa sababu bora angekaa na jamaa amueleze tu hali halisi kwamba hataki kuolewa nae.
Ila majuto ni mjukuu,pole sana kwa braza aliye toroshewa ndege wake inauma sana

Jamaa kadata, na hajaamini mpaka sasa kama ameoga kabisa
na kuvaa suti ila mjini / kanisani hajaenda......
 
Bidada aliamua tu kumdhalilisha jamaa. Angeweza kumpiga chini kabla ya maandalizi yote hayo

Sasa yeye hajajidhalilisha na familia yake kwa kumfanyia send off? Hao ndugu zake watamwelewa?
 
Na akipatikana ikajulikana amefanya kusudi.jamaa awaite hata wahuni wamuhoneymoon tu.
 
Utakuta kuna jambo kligundua dakika za mwisho labda Bwana harusi mtarajiwa ana VVU au bwabwa huwezi kujua unajua saloon kuna mambo mengi sana.

Aliamua kubadili gia angani kama kamanda Mbowe, chezea wachaga wewe?!
 
Huyu Bw.Harusi ni mkurupukaji kama POMBE, inawezekana hakujipanga vizuri na huyu msomi aliyeruka ukuta!
 
Zingatia hakuna mapenzi chini ya jua, usiingie kichwa kichwa
 
Naona comments za wengi ni negative,inawezekana ametupiwa jini ili asiolewe,binadamu hatupendani hata kidogo.
 
Yawezekana kuna pedeshe kafika bei kwa manzi la kichaga
 
Y'all shouldn't be jumping into conclusions yet. Nobody really knows what happened, but the was to be bride.
 
Back
Top Bottom