Bibi Anna na kilimo

Bibi Anna na kilimo

mkuto

Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
15
Reaction score
0
Leo asubuhi katika katisha zangu shambani bibi Anna alikuwa ana palilia mahindi shambani lakini alionekana mchovu sana katika kufanya kazi kwake, kama mtz muungwana ikabidi ni mwulize bibi kulikoni jibu lake kwangu mjukuu wangu nimechoka nina miaka 70 lakini bado nateseka na kulima bora niende mbele za haki kwakuwa sina msaada wowote.Dah nimekosa jibu imebidi niseme pole bibi hicho ndio kilimo kwanza.akajibu tena mjukuu wangu we nyamaza mbolea juu mbegu juu usitake kunikumbusha machungu nilio yasahau.Imenibidi niondoke kimya kimya bila coment.
 
Leo asubuhi katika katisha zangu shambani bibi Anna alikuwa ana palilia mahindi shambani lakini alionekana mchovu sana katika kufanya kazi kwake, kama mtz muungwana ikabidi ni mwulize bibi kulikoni jibu lake kwangu mjukuu wangu nimechoka nina miaka 70 lakini bado nateseka na kulima bora niende mbele za haki kwakuwa sina msaada wowote.Dah nimekosa jibu imebidi niseme pole bibi hicho ndio kilimo kwanza.akajibu tena mjukuu wangu we nyamaza mbolea juu mbegu juu usitake kunikumbusha machungu nilio yasahau.Imenibidi niondoke kimya kimya bila coment.

Huyo Bibi Anna amesahau kukwambia na Land rate ipo juu kulingana na waraka aliosaini waziri wetu mkuu.Reference Manispaa ya Mbeya.Mpaka ufike 2015 tumekwisha.
 
Bibi Anna anawawakilisha watz wengi waishio vijijini kama bibi,babu na ndugu zangu walio wengi.
 
Ni ANNA yupi?
  1. ABDALLAH
  2. MKAPA
  3. MAKINDA
  4. KILLANGO

katika hawa. A. abdallah na A. kilango ndio vibibi. spika wetu baado kabisa. akikupigia ule msuko wake wa kimasai mbona utampenda. A. mkappa sina utani nae maana ukimuangali vizuri kama amekula mwiba wa samaki mkavu au kaumwa na nyuki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom