Bibi amuita Magufuli 'Mungu' baada ya kupewa msaada

KUPENDA SIFA NA KUJIITA MUNGU NI VITU VIWILI TOFAUTI. Huyu wetu hajajiita ni MUNGU ZAIDI NI RAIS ALIYECHAGULIWA KWA WINGI WA KURA. Ila mtu akisifiwa hufurahi hata wewe ni ubinadamu. Ndio sababj tunamsifia MUNGU NA ZAIDI KUMWABUDU.
 
Unanikumbusha mbali, nilienda kijiji flani Mwika nikasalimiwa na wabibi shikamoo dah nliishiwa pozi
Ndiyo maana nimesema ni kutokuwa na exposure ya kutosha. Haya ni mambo ya kawaida kabisa vijijini lakini watu wengine wanajifanya hawajui mazingira ya vijiji vyetu.
 
Wewe usiyejua kujiongeza ndio una shida.

Mtu mzima kumsalimia kijana hua ni kumkebehi sababu kijana hajamsalimia.

Hukufundishwa kusalimia wakubwa ukiwa kwenu?
Ndiyo maana nimesema ni kutokuwa na exposure ya kutosha. Haya ni mambo ya kawaida kabisa vijijini lakini watu wengine wanajifanya hawajui mazingira ya vijiji vyetu.
 
Wewe usiyejua kujiongeza ndio una shida.

Mtu mzima kumsalimia kijana hua ni kumkebehi sababu kijana hajamsalimia.

Hukufundishwa kusalimia wakubwa ukiwa kwenu?
Du. You are really dumb my dear. Tunazungumzia mazingira ya vijijini mazee! Hujawahi kufika vijijini?
 
Kwani jamaa amejiita ama ameitwa....
usikurupuke kizembe
 
Yes,hivi ndivyo vijiji vya Tz vilivyo lkn kama ulikua unaongelea ukosefu wako wa adabu kwa wabibi mpk wakusalimie shikamoo then hilo ni tatizo lako la maadili.
Na reference ya ku-justfy madai yako ni huyu member.....! Janga....!
 
Umesema ukweli mtupu. Nadhani wengine wanaandika tu bila kusikiliza clip kwa umakini na utulivu. Kuitwa mungu wa pili pia rais alijibu "hapana". Tumkosoe kwa mengine ambayo tuna uhakika kakosea, si kutunga uongo hata penye ukweli wa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…