Saint Ivuga hata wewe unapungukiwa U great thinker? Umeshindwa kusikiliza video yote kujua ukweli??? In short, Dkt Magufuli kaitwa Mungu bila ridhaa yake, na kuweka msisitizo kakataa na kumwambia yule mama yeye Dkt Magufuli siyo Mungu na hapaswi hata kupigiwa magoti. Be careful when you comment mkuu, unajiumbua.