Si amesha sema ataenda kuongoza na malaika uko mbingunjKAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.
Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.
Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.
Sasa ngoja tuone labda Lema dream come turuuu
Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Iwe kijijini kwetu au hapana lakini la muhimu ni kuwa haya mambo yapo.'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Labda kijijini kwenu ndo kuna wazima wa dizaini hio.
Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
Hahahaa, kaona nafasi ya malaika haimfai, kamu upgrade kidogo.Kusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
ninavyoelewa ukiwapita wakubwa bila kuwasalimia ndio wanakusalimia wao!!'Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Labda kijijini kwenu ndo kuna watu wazima wa dizaini hio.
Kwamba bibi hajui maana ya Mungu?Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Dogo macho_mdiliko, kutoa shikamoo na kutukuza ni vitu viwili tofauti.Cha ajabu ni nini? Hivi mtu kama huyo bibi kutokuelewa mambo kwa undani ni jambo la ajabu? Hujawahi kwenda vijijini ukakuta wamama na wababa wazee wakakwamkia ''shikamoo''?
Possibly huyu bibi atakuwa hajui!Kwamba bibi hajui maana ya Mungu?
MUngu hana msalia mtume.Kuna Siku nilimsikia mzee wa upako akielezea jinsi Huyo mfalme alivyokufa,ni kwamba mda mchache baada ya kutoa hio hotuba yake na kusifiwa hadi kufananishwa na Mungu alianza kutokwa na funza huku huku nyama zikiacha mwili anajiona mpaka kaanguka chini na kufa.
Mwenye kosa nani? Bibi, magufuri!?KAtika mambo ambayo Mungu hana msalia mtume ni binadamu kujikweza na kuanza kushangikia kuitwa Mungu.
Adhabu yake kwenye Bible ni kifo.
Ndio ninavyojua mimi.
Kuna mfalme walimuita Mungu. Mungu mwenyewe akamuua.
Sasa ngoja tuone labda Lema dream come turuuu
Watu wanaongozwa na chuki hapa. Bibi amepiga magoti, rais akamwambia ''inuka tu bibi'' anayestahili kupigiwa magoti ni Mungu tu''. Bibi akaongezea hata wewe ni kama mungu wa pili. Kwa kifupi rais amemjibu vizuri sana ila kutokana na uelewa wa bibi ndiyo akasema hivyo lakini siyo kweli kwamba rais alifurahia.
Hujui Bibi aliteseka kiasi Gani
Mpaka anakutana na Rais anayewasaidia wanyonge
Bibi ametoa baraka
Malaika mkuu uyoKusema ukweli nimeona aibu kuiangali hii video, nimesoma tu heading kwenye video, maana ni aibu ilioje kuina na kusikia binadamu mwenzako akiitwa Mungu, nimeona aibu sana. Kwa wenye ujasiri wa kuangalia naomba muangali halafu mtuhadithie. Video ipo chini hapo.
Hei angalia hiyo video.Vipi baada ya kuitwa hivyo, je aliye itwa hivyo na yeye alikataa?
Ni viwili lakini kwenye mazingira sawa i.e. inaonyesha kuwa mtu aliye kwenye matatizo na asiye na exposure ya kutosha akiona mtu mwenye uwezo wa kumsadia huona kama ameona mungu mtu. Ninachotaka kuonyesha hapa ni kuwa hata rais alimwambia kuwa anayetakiwa kutuzwa ni Mungu tu lakini kwa sababu ya chuki watu wanaandika uzushi wanaojua.Dogo macho_mdiliko, kutoa shikamoo na kutukuza ni vitu viwili tofauti.
Hata babas wa Kichagga huwa wanatoa shikamoo kwa watoto wao wanaomiliki mpunga mnene. Utasikia, "shikamoo manangu!".