biashara zetu ziwe za kweli na halali

123cholo

Member
May 20, 2014
14
1
jamani hii inatokana na baadhi tunaoweka matangazo tunapotafutwa unakuta hatupatikani au unakuta kitu kinavyo tangazwa na ukikiona unakuwa hoi
Jamani tutoe sifa km kitu kinachouzwa kilivyo sio unaisifia nyumba kumbe nyumba hipo bondeni alafu mda wowote inabomoka
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom