LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Unajua action ya Amin ilisaidia kutoa nafasi ya Waganda wafanyabiashara weusi, kunyanyuka na kuwa wengi na mpaka sasa thats why waganda wengi ni wamefanikiwa kuwa kwenye biashara kucompete na wahindi! Empowerment of black indegineous bussiness people tofauti na bongo!
Sidhani Mshiiri anazungumzia upande huo ulioueleza.
Black hatuhitaji kuwa "empowered" maana sisi sio walemavu wa viungo au akili. Hatuhitaji kuwa na hofu yoyote kwa mafanikio waliyonayo watz-wahindi; tena ni vyema tukayachukulia mafanikio yao kama kichocheo na changamoto kwetu kufanya bidii kwa kujifunza kutoka kwao. Ili tupige hatua, tunahitaji challenges.
Watz-Wahindi wanayo link na India (waendelee kuwa nayo), hiyo nayo ina faida kwetu inategemea jinsi tutakavyoitumia fursa hiyo. Mfano mzuri angalia kwenye upande wa film production. Kuna vijana wetu wanasoma India, wengine wanafanya kolabo na Indians. Do you see the trend?
Kuwafukuza watz-wahindi sio suluhisho kwenye hoja ya Mshiiri - hii ni kwa jinsi nilivyoielewa hoja yake.