Biashara za kwenye instagram na totoz

Biashara za kwenye instagram na totoz

Ni kweli, kwa sababu wengi wa wauzaji ni wanawake na wanauza nguo za kiume tu. Hawauzi za wanawake wenzao au za watoto.
ndo hapo ujiulizee....yaan ni mwendo wa kugegegeda tuu ukiwa na hela yako
 
Basi hatari....mie nilidhani wanatumia hiyo mitandao ili kuitangaza biashara yake zaidi na kupata wateja kumbe ni 2in 1.
double decker wanasema...lakin sio wote jaman
 
...mbona mademu wengi tu wanauza,hata huyo jirani yako hapo we piga sound tu, atakupa!
 
Si utan hii kitu ipo me wife katika mtandao yao uko kuna nguo aliiyona bas wenyewe wakubalia mwisho wa siku wife akaniambia naomba uwasiliane na uyu dada kuna mzigo atakupa utampa kias frulan nikasema poa tuma namba bas nikamtafuta uyu mtu tukakutana da! Cut kwelili nikachukua mzigo nikasepa bas tangu apo zikaanza sms mara ooh! Mzogo umeingia nimekuletea nguo za mazoez yan ikawa shida alaf mbaya zaid wife alimba yang ya ukwell nikaja nika mbrock asa ingekua kaja hom warai ningemziba
Samahani, hivi ulivyoandika ndio huwa unaongea hivyo hivyo?
 
Labda kwa sababu mie mshamba hiyo instagramu nafanya kuisikia tu, sijawahi kuvutiwa nayo
 
Hakuna dhaifu katika biashara.
yah ni kweli aisee maana jinsia zote mbili zinatoa ushirikiano. ndo maana hapa mjini mtu utaona anauza mashati tuu lakin anaendesha usafiri wa nguvu
 
Back
Top Bottom