Biashara za kwenye instagram na totoz

Biashara za kwenye instagram na totoz

Baadhi yetu tumekuwa tunaishi tu. Hatuna mpenzi. Hatujaribu umalaya. Hatumpendi mtu. Hakuna anayetupenda. Tunajishughulisha tu na kazi zetu, tunakula, tunalala, na kuishi maisha yanasonga kiulaiiini.
 
Majungu yenu yatawakatisha tamaa dada zetu waache kufanya biashara.

Mbona nyie wake zenu wanafanya kazi ofisi kubwa na bado wanagawa uroda kama karanga?

Umalaya ni tabia ya mtu, usijumlishe wote.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom