- Thread starter
- #41
Ni kweli kabisaa, ila hapo inabidi uchague risk unayoimudu.Kwenye high risk ndo kwenye high gain,
Ngoja risk taker waje!!
Ni heri kukosa pesa ila ukalala usingizi mzuri kuliko kuwa na pesa ukakosa usingizi kwa moyo kupanuka kwa presha.